Ukiwa na wawili lazima utampenda zaidi mchepuko.. unamsimulia madhaifu ya mkeo... So ANAkuwa anajua Nini afanye.. mke hasimuliwi ya mchepukoUshauri wa bure wanaume mjifunze kubalance shobo. Ukiwa na mchepuko hakikisha uzito una elemea kwa wife home mzani huu haufati kanuni za beam balance.
Utakuwa mgeni wa mapenzi, ndio maana uliwekeza sana kwake- mchepuko kiasi kwamba sasa umekuwa mateka wake. Hivyo hutaki kukubali kusemacsasa basi au kama ni kuendelea ni kwa jinsi wewe utakavyo one sio yeyeMichepuko mna nini lakin? Wakuu ninaandika kwa masikitiko na majonzi makubwa saana. Nimeoa takribani miezi Tisa sasa. Kama mjuavyo kwetu sisi wanaume hatuachi kuchepuka ikiwa ndo asili na hulka yetu.
Namshukuru Mungu,nimebahatika kupata mwanamke mzuri,mwenye upendo na pia Ni mcha Mungu. Tatizo ni huyu mchepuko niliye naye,anani control mnooo.Yaan ananifanyia visa sijapata kuona.
Inafikia nyakati Mke wangu simjali Wala kumheshimu tena,najikuta nguvu zote nazielekeza kwa mchepuko. Na mbaya Zaid mchepuko ananipeleka vile anavyo jisikia,namfanyia Mambo mengi kuliko hata ninayo yafanya kwenye familia yangu,
Lakini naambulia matokeo hasi kutoka kwa huyo mchepuko. Mchepuko anaweza kunihitaj hata saa tano usiku,ntajikuta nmedanganya kwa wife ili tu niweze kutoka.
Kuna nyakati mchepuko atanifanyia vitimbi na vibweka kiasi kwamba napoteza kabisa mood ya kazi. Nkirudi nyumbani,mke wangu namdanganya then atanifariji na kunitia nguvu na maisha yanaendelea.
Imefikia hatua nataka niachane kabisa na mchepuko,nashindwa kabisa yaan.ntampotezea Leo lakini kesho ntamtafuta Tena Bila kujali madhila anayo nifanyia.
Nimechoshwa na hii Hali wakuu,natamani kujinasua katika hii Hali ninayo pitia. Nahitaji kujikita kwenye familia yangu. Kinacho niumiza zaidi naweza kukaa hata wiki sijapiga game nyumbani,ila nataka kupiga tu game na mchepuko.
Mke wangu anakuwa mnyonge mnoo. Najutia saana kuwa na mchepuko,najitahid kutafuta njia nzuri ya kutoka na hatimaye kuacha kabisa.
Ushauri wangu kwa vijana wenzangu ambao mmeoa. Kama unaweza please tulia na mke wako ili usipitie Hali ambayo naipitia.
Nb:Mke wangu Ni mzuri na ametimia kila idara kuliko hata mchepuko.
Cc Extrovert
Umeona!!Hii nimeelewa
Hitimisho anatakiwa ajue kuna maisha baada ya ngono.
Kwanza nikurekebishe asili ya mwanaume sioMichepuko mna nini lakin? Wakuu ninaandika kwa masikitiko na majonzi makubwa saana. Nimeoa takribani miezi Tisa sasa. Kama mjuavyo kwetu sisi wanaume hatuachi kuchepuka ikiwa ndo asili na hulka yetu.
Namshukuru Mungu,nimebahatika kupata mwanamke mzuri,mwenye upendo na pia Ni mcha Mungu. Tatizo ni huyu mchepuko niliye naye,anani control mnooo.Yaan ananifanyia visa sijapata kuona.
Inafikia nyakati Mke wangu simjali Wala kumheshimu tena,najikuta nguvu zote nazielekeza kwa mchepuko. Na mbaya Zaid mchepuko ananipeleka vile anavyo jisikia,namfanyia Mambo mengi kuliko hata ninayo yafanya kwenye familia yangu,
Lakini naambulia matokeo hasi kutoka kwa huyo mchepuko. Mchepuko anaweza kunihitaj hata saa tano usiku,ntajikuta nmedanganya kwa wife ili tu niweze kutoka.
Kuna nyakati mchepuko atanifanyia vitimbi na vibweka kiasi kwamba napoteza kabisa mood ya kazi. Nkirudi nyumbani,mke wangu namdanganya then atanifariji na kunitia nguvu na maisha yanaendelea.
Imefikia hatua nataka niachane kabisa na mchepuko,nashindwa kabisa yaan.ntampotezea Leo lakini kesho ntamtafuta Tena Bila kujali madhila anayo nifanyia.
Nimechoshwa na hii Hali wakuu,natamani kujinasua katika hii Hali ninayo pitia. Nahitaji kujikita kwenye familia yangu. Kinacho niumiza zaidi naweza kukaa hata wiki sijapiga game nyumbani,ila nataka kupiga tu game na mchepuko.
Mke wangu anakuwa mnyonge mnoo. Najutia saana kuwa na mchepuko,najitahid kutafuta njia nzuri ya kutoka na hatimaye kuacha kabisa.
Ushauri wangu kwa vijana wenzangu ambao mmeoa. Kama unaweza please tulia na mke wako ili usipitie Hali ambayo naipitia.
Nb:Mke wangu Ni mzuri na ametimia kila idara kuliko hata mchepuko.
Cc Extrovert
Kwanza nikurekebishe asili ya mwanaume sio kuchepuka, you committed fallacy of generelization. Kuchepuka ni tamaa ya baadhi ya mwanaume.Michepuko mna nini lakin? Wakuu ninaandika kwa masikitiko na majonzi makubwa saana. Nimeoa takribani miezi Tisa sasa. Kama mjuavyo kwetu sisi wanaume hatuachi kuchepuka ikiwa ndo asili na hulka yetu.
Namshukuru Mungu,nimebahatika kupata mwanamke mzuri,mwenye upendo na pia Ni mcha Mungu. Tatizo ni huyu mchepuko niliye naye,anani control mnooo.Yaan ananifanyia visa sijapata kuona.
Inafikia nyakati Mke wangu simjali Wala kumheshimu tena,najikuta nguvu zote nazielekeza kwa mchepuko. Na mbaya Zaid mchepuko ananipeleka vile anavyo jisikia,namfanyia Mambo mengi kuliko hata ninayo yafanya kwenye familia yangu,
Lakini naambulia matokeo hasi kutoka kwa huyo mchepuko. Mchepuko anaweza kunihitaj hata saa tano usiku,ntajikuta nmedanganya kwa wife ili tu niweze kutoka.
Kuna nyakati mchepuko atanifanyia vitimbi na vibweka kiasi kwamba napoteza kabisa mood ya kazi. Nkirudi nyumbani,mke wangu namdanganya then atanifariji na kunitia nguvu na maisha yanaendelea.
Imefikia hatua nataka niachane kabisa na mchepuko,nashindwa kabisa yaan.ntampotezea Leo lakini kesho ntamtafuta Tena Bila kujali madhila anayo nifanyia.
Nimechoshwa na hii Hali wakuu,natamani kujinasua katika hii Hali ninayo pitia. Nahitaji kujikita kwenye familia yangu. Kinacho niumiza zaidi naweza kukaa hata wiki sijapiga game nyumbani,ila nataka kupiga tu game na mchepuko.
Mke wangu anakuwa mnyonge mnoo. Najutia saana kuwa na mchepuko,najitahid kutafuta njia nzuri ya kutoka na hatimaye kuacha kabisa.
Ushauri wangu kwa vijana wenzangu ambao mmeoa. Kama unaweza please tulia na mke wako ili usipitie Hali ambayo naipitia.
Nb:Mke wangu Ni mzuri na ametimia kila idara kuliko hata mchepuko.
Cc Extrovert
Hakuna nguvu ya ziada hapo mkuu. Kitu chochote ukishakitengenezea uraibu/addiction ni ngumu sana kukiacha kwa haraka, mifano: betting, unywaji wa pombe/soda/juisi, uvutaji wa sigara, kula ugolo nk.Daah nimeshangaa yaan mtu unashindwa kujitoa mwenyewe. Anyway labda kuna nguvu ya ziada
Fanya maamuzi magumu, mwambie tuu wewe umeshaamua kumrudia Mungu wako umeachana na mambo ya ki-malaya malaya.sababu una safari ya kwenda mbinguniMichepuko mna nini lakin? Wakuu ninaandika kwa masikitiko na majonzi makubwa saana. Nimeoa takribani miezi Tisa sasa. Kama mjuavyo kwetu sisi wanaume hatuachi kuchepuka ikiwa ndo asili na hulka yetu.
Namshukuru Mungu,nimebahatika kupata mwanamke mzuri,mwenye upendo na pia Ni mcha Mungu. Tatizo ni huyu mchepuko niliye naye,anani control mnooo.Yaan ananifanyia visa sijapata kuona.
Inafikia nyakati Mke wangu simjali Wala kumheshimu tena,najikuta nguvu zote nazielekeza kwa mchepuko. Na mbaya Zaid mchepuko ananipeleka vile anavyo jisikia,namfanyia Mambo mengi kuliko hata ninayo yafanya kwenye familia yangu,
Lakini naambulia matokeo hasi kutoka kwa huyo mchepuko. Mchepuko anaweza kunihitaj hata saa tano usiku,ntajikuta nmedanganya kwa wife ili tu niweze kutoka.
Kuna nyakati mchepuko atanifanyia vitimbi na vibweka kiasi kwamba napoteza kabisa mood ya kazi. Nkirudi nyumbani,mke wangu namdanganya then atanifariji na kunitia nguvu na maisha yanaendelea.
Imefikia hatua nataka niachane kabisa na mchepuko,nashindwa kabisa yaan.ntampotezea Leo lakini kesho ntamtafuta Tena Bila kujali madhila anayo nifanyia.
Nimechoshwa na hii Hali wakuu,natamani kujinasua katika hii Hali ninayo pitia. Nahitaji kujikita kwenye familia yangu. Kinacho niumiza zaidi naweza kukaa hata wiki sijapiga game nyumbani,ila nataka kupiga tu game na mchepuko.
Mke wangu anakuwa mnyonge mnoo. Najutia saana kuwa na mchepuko,najitahid kutafuta njia nzuri ya kutoka na hatimaye kuacha kabisa.
Ushauri wangu kwa vijana wenzangu ambao mmeoa. Kama unaweza please tulia na mke wako ili usipitie Hali ambayo naipitia.
Nb:Mke wangu Ni mzuri na ametimia kila idara kuliko hata mchepuko.
Cc Extrovert
ππππAu kamchuzi tu tunampaNimeona dada yangu,tatizo kuna wanaume wenzetu wanaharibu kwelikweli. Kwa mwanaume kama huyu sio tu kumfulia wakati umenuna,hata ukimpakulia nyama mpe kipande kimoja kidogo huku watoto ukiwajazia.
Hivi ukitenda dhambi unalikosea kanisa au Mungu... Kwanini umwambie mtu madhambi yako alafu akwambie umesamehewaKama umefunga ndoa ya kanisa katoliki, nakushauri nenda ukaungame, matatizo yako na mchepuko yataanza kupungua kuanzia hapo.
Sijui hallow, ila kwa wakatoliki nafikiri watakuwa wameelewaHivi ukitenda dhambi unalikosea kanisa au Mungu... Kwanini umwambie mtu madhambi yako alafu akwambie umesamehewa
Hii posti nimechelewa kuijibu,si unajua leo ilikuwa siku ya kumsifia Muumba.ππππAu kamchuzi tu tunampa
Hata mke wake huo ucha Mungu akazane kuna vitu bado ana miss inatakiwa aone huo uzinzi wa Mumewe kabla mumewe hajafanya.ili aombe kuzuia shetan huyo kuchanganya mafileStick na mke wako kenge ww. Kwenye statement yako unasema kuwa mke wako ni mke mzuri mcha Mungu.
Stick na huyo mcha Mungu. Mchepuko una nguvu sababu umeshakuwa addicted. Achana na mchepuko save ndoa yako.
Ukiendekeza tamaa hata hiyo ndoa utaikosa