Baba jayaron
JF-Expert Member
- Jun 29, 2015
- 4,324
- 5,933
muhali gani wana jamvi,
Nimekutana na changamoto ambayo sikupanga kupitia katika maisha...
nikiwa nimetengana na mke wangu kwa mda kama wa mwezi hivi kwa sababu za kiuna ndoa ndipo nikakutana na huu mchepuko.
mchepuko ulikua umegombana na mumewe na wametengana mazima kwakua alikua amemtelekezea watoto bila matumizi huku jamaa akila bata wakati yeye akiwa na hali mbaya kiuchumi kweli kweli.
stori ilianzia palealipokua anaongea na mumewe wakaanza kutukanana ikabidi ni mtulize kumfariji kama binadamu mwenzangu.
ghafla tukajikuta tumeanza mahusiano kiushkaji kama ''friend with benefit'' kwakua wote tulikua na maumivu ya mapenzi kipindi hicho.... so siku moja tukakubaliana kupeana mambo ikawa fresh japo kamoja na nextday pia ikawa kamoja pia.
baada ya hapo nikarekebisha mambo yangu na wife ikabidi nirudi nyumbani kwangu nikamwambia asinitafute na kweli alitii japo alikua anashindwa kuvumilia akawa ananitumia msg za salaam tuu.
sasa juzi kati kakomaa anataka kuonana mimi baada ya zaidi ya mwaka tangu kuachana kuonana ikabidi nikubali tuu kuonana nae.
nakutana nae mara ya kwanza nikashangaa mtoto amenenpa na anamiliki maduka lakini eti hana mwanaume yeyote zaidi alikua ananisubiria mimi kipindi choote maana hajawahi kupenda mwanaume ka anavyonipenda mimi.
kiukweli anaonesha machoni anachokisema kwamba ananipenda ni kweli kabisaa maana nikimgusa tuu anasisimka kimahaba mpaka namuonea huruma yaani hataki hata ni mshike nikimshika anapata hisia za naniliu ikiingia...😵😵anasema nikimwangalia ndio kabisaaaa...... jamani jamnii huyu mwanamke kaniacha hoi kwa hio staili nimebaki mdomo wazi...
anasema nimpe nafasi anitumie atakavyo hatosumbua ndoa yangu maana hanashida na mke wangu anamheshimu saana.... kikubwa nisiutese moyo wake na amekua akijikanda na maji ya moto kipindi choote kwa ajili yangu sasa anahitaji nimpe vitu vyangu kwa uhuru asiutese moyo wake...
jamani anatia huruma kwa kweli sijui nifanyeje huyu mtu maana nikikumbuka alikua mtamu kila nilipotaka kutumia aliniruhusu laah haulaah jamani...dhambi hizi
nifanyeje jamani?
Nimekutana na changamoto ambayo sikupanga kupitia katika maisha...
nikiwa nimetengana na mke wangu kwa mda kama wa mwezi hivi kwa sababu za kiuna ndoa ndipo nikakutana na huu mchepuko.
mchepuko ulikua umegombana na mumewe na wametengana mazima kwakua alikua amemtelekezea watoto bila matumizi huku jamaa akila bata wakati yeye akiwa na hali mbaya kiuchumi kweli kweli.
stori ilianzia palealipokua anaongea na mumewe wakaanza kutukanana ikabidi ni mtulize kumfariji kama binadamu mwenzangu.
ghafla tukajikuta tumeanza mahusiano kiushkaji kama ''friend with benefit'' kwakua wote tulikua na maumivu ya mapenzi kipindi hicho.... so siku moja tukakubaliana kupeana mambo ikawa fresh japo kamoja na nextday pia ikawa kamoja pia.
baada ya hapo nikarekebisha mambo yangu na wife ikabidi nirudi nyumbani kwangu nikamwambia asinitafute na kweli alitii japo alikua anashindwa kuvumilia akawa ananitumia msg za salaam tuu.
sasa juzi kati kakomaa anataka kuonana mimi baada ya zaidi ya mwaka tangu kuachana kuonana ikabidi nikubali tuu kuonana nae.
nakutana nae mara ya kwanza nikashangaa mtoto amenenpa na anamiliki maduka lakini eti hana mwanaume yeyote zaidi alikua ananisubiria mimi kipindi choote maana hajawahi kupenda mwanaume ka anavyonipenda mimi.
kiukweli anaonesha machoni anachokisema kwamba ananipenda ni kweli kabisaa maana nikimgusa tuu anasisimka kimahaba mpaka namuonea huruma yaani hataki hata ni mshike nikimshika anapata hisia za naniliu ikiingia...😵😵anasema nikimwangalia ndio kabisaaaa...... jamani jamnii huyu mwanamke kaniacha hoi kwa hio staili nimebaki mdomo wazi...
anasema nimpe nafasi anitumie atakavyo hatosumbua ndoa yangu maana hanashida na mke wangu anamheshimu saana.... kikubwa nisiutese moyo wake na amekua akijikanda na maji ya moto kipindi choote kwa ajili yangu sasa anahitaji nimpe vitu vyangu kwa uhuru asiutese moyo wake...
jamani anatia huruma kwa kweli sijui nifanyeje huyu mtu maana nikikumbuka alikua mtamu kila nilipotaka kutumia aliniruhusu laah haulaah jamani...dhambi hizi
nifanyeje jamani?