Mchepuko wa mdogo wangu amenielewa

Mchepuko wa mdogo wangu amenielewa

EL ELYON

JF-Expert Member
Joined
Jan 2, 2013
Posts
1,565
Reaction score
1,918
Wakuu hamjambo aisee.

Mmefanikiwa na kubarikiwa Sana na Mungu WA Mbinguni.

Moja Kwa moja naanza, nilihamia kikazi mkoa Fulani kanda ya ziwa huku bahati nzuri huku yupo bwana MDOGO amekuwepo huku miaka MINGI na familia yake SA siku moja tupo kwenye matembezi tukakutana na kadada Fulani hivi kana tako zito sana aisee dogo kanitambulisha huyu NI shemeji yako Ila mpango WA kando.

Basi tukasalimiana pale kisha tukasepa hata nikiwa nakutana Naye huyo MCHEPUKO WA DOGO ni salamu Tu na utani kidogo mi mbele ukizingatia mi si muongeaji sana ni WALA introvert.

SASA hivi karibuni huyo mchepu WA dogo amekuwa na tabia ya kutaka mi niwe naenda kumuona anapofanyia kazi hasa jioni yaani mpaka anamzingua dogo mbona bro wako simuoni mi nikajua dogo anatania si akanionyesha SMS huyo mchepu anamlaumu dogo mbona humwambii bro wako aje au Ndo hutaki nimuone 🤔 nikastuka Sana kuona HIYO SMS Basi nikamwambia dogo taenda kumcheck.

LAKINI zamani haikuwa hivyo cha ajabu dogo ananiambia Yule mchepu anasema mi nikionana Naye tunaongea vema Sana tofauti na dogo yaani mchepu wa dogo unanielewa Sana tukiwa tunaongea.

Jana dogo ananiambia Yule ana mimba changa uwenda HIYO mimba imekuelewa sana 🤔

SASA WAKUU Kwa Hali Hii huyu mchepu ANATAKA Nini kwangu huyu 🤔🤔🤔🤔🤔
 
Anataka nini!
Unamuona anataka dushe sio!sasa unauliza nini mkuu
NatakA Maoni yenu mkuu penye Wengi hapaharibiki Jambo MFANO we unaonaje Hapo Mzee Baba....
 
Kwann unamuita huyo mwenzio dogo, unahisi mmetofautiana sana makuzi?
 
Kwann unamuita huyo mwenzio dogo, unahisi mmetofautiana sana makuzi?
HaPana NAmzidi miaka miwili ingawa kimuinekano ye anaonekana mkubwa Ila still KWANGU NI mdogo. Haya nipe mtazamo wako Hapo Kwa mchepuko
 
Haya uJi wako umeshapoa NendA kanywe sasa
Wewe ndo unaleta kiporo cha makukuru humu ndani…

Kama mdogo mdogo wako kaamua kutumia ubongo wake kukwambia kiutu uzima kuwa mcheps wake mjamzito wewe unaleta maswali ya nini!

Au unataka ufumaniwe nae mdogo wako akuzibue na nyundo ya utosini ukufe!
 
Naona shetani yuko akilini mwako tayari. Kwani kwenu hakuna mashemeji? Kama wewe ni wakala wa shetani, nenda kalale na mchepuko wa kaka yako ambao una ujauzito wake...
Wakuu hamjambo aisee....
Mmefanikiwa na kubarikiwa Sana na Mungu WA Mbinguni.

Moja Kwa moja naanza, nilihamia kikazi mkoa Fulani kanda ya ziwa huku bahati nzuri huku yupo bwana MDOGO amekuwepo huku miaka MINGI na familia yake SA siku moja tupo kwenye matembezi tukakutana na kadada Fulani hivi kana tako zito sana aisee dogo kanitambulisha huyu NI shemeji yako Ila mpango WA kando.

Basi tukasalimiana pale kisha tukasepa hata nikiwa nakutana Naye huyo MCHEPUKO WA DOGO ni salamu Tu na utani kidogo mi mbele ukizingatia mi si muongeaji Sana ni WALA introvert.

SASA hivi karibuni huyo mchepu WA dogo amekuwa na tabia ya kutaka mi niwe naenda kumuona anapofanyia kazi hasa jioni yaani mpaka anamzingua dogo mbona bro wako simuoni mi nikajua dogo anatania si akanionyesha SMS huyo mchepu anamlaumu dogo mbona humwambii bro wako aje au Ndo hutaki nimuone 🤔 nikastuka Sana kuona HIYO SMS Basi nikamwambia dogo taenda kumcheck. LAKINI zamani haikuwa hivyo cha ajabu dogo ananiambia Yule mchepu anasema mi nikionana Naye tunaongea vema Sana tofauti na dogo yaani mchepu wa dOGO unanielewa Sana tukiwa tunaongea.

Jana dogo ananiambia Yule ana mimba changa uwenda HIYO mimba imekuelewa sana 🤔

SASA WAKUU Kwa Hali Hii huyu mchepu ANATAKA Nini kwangu huyu 🤔🤔🤔🤔🤔
 
HaPana NAmzidi miaka miwili ingawa kimuinekano ye anaonekana mkubwa Ila still KWANGU NI mdogo. Haya nipe mtazamo wako Hapo Kwa mchepuko
Tafuta hela wacha kuwaza ujiga kenge
 
Kwanza angalia mahusiano yako na uyo Dogo YAKOJE,
Kama huwa mnatabia ya kushea wanawake, nenda KAPIGE huo MZIGO. Ila umuweke wazi kabla.

(Maana Kuna couple nyingine zinapenda Sana kushea sex, Niliwai ingizwa kwenye huu mchezo (threesome) miaka ya nyuma hivyo hivyo)

Kuna akili inanambia wewe unatengenezewa mazingira ya kushiriki THREESOME[emoji4].

Kama hamna maZoea ayo,
Nenda nao wote mdg mdg automatic jins wao wanavotaka.

Wakitaka upige, wee KAPIGE.
Jamaa akiwa na wivu Sana na mtu wake, jiweke pembeni.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom