DeepPond
JF-Expert Member
- Nov 18, 2017
- 41,728
- 103,997
Ha ha ha...Sema wanaume mmekuja kuwa na pigo za kiwaki sana, hili nalo ni la kuomba ushauri!?
Jamaa kabaki dilema.
Ila akili yangu inanambia uyu anatengenezewa mazingira ajoin threesome.
Maana wote shemej yake&Dogo wanatumia Nguvu kubwa Sana kumuweka jamaa karibu yao.
Kuna kitu anategezewa uyu sio bure[emoji4]
Sent using Jamii Forums mobile app