Mchepuko wangu ambaye ni Wakala wa Mpesa ameninunia

Mchepuko wangu ambaye ni Wakala wa Mpesa ameninunia

Stroke

JF-Expert Member
Joined
Feb 17, 2012
Posts
37,630
Reaction score
47,434
Jamani nimenuniwa leo.

Mchepuko wangu ni wakala wa Tigo pesa, Mpesa na Airtel Money.

Sasa Mchepuko mpya ukataka nifanye muamala. Bila hiyana nikauambia ule wakala nisaidie kutuma elfu 20 kwenye hii namba. Akatuma, sasa baada ya kutuma akaniuliza huyu nani mbona mwanamke?

Nikatoa maelezo nikajua yameisha. Kumbe hayajaisha bwana baada ya kuachana pale akafanya mambo yake leo nimepita pale naona hata hataki kuniona. Nifanyaje wakuu maana mchepuko umenuna kuwa mchepuko mwenzake.

Tutunziane Siri.
 
"Yote hiyo" wakati kasema ni miwili tu? Kijana bado anajifunza.... Utakuwaje na michepuko michache namna hiyo?
Sasa mkuu huyo akimtumia hela mteja kuna tatizo gani??

Maana anajijua ni mchepuko halafu bado anamind mambo kama hayo.
 
Nkajua menuna ni jina la mtu 😁
Jamani nimenuniwa leo.

Mchepuko wangu ni wakala wa Tigo pesa, Mpesa na Airtel Money.

Sasa Mchepuko mpya ukatana nifanye muamala.

Bila hiyana nikauambia ule wakala nisaidie kutuma elfu 20 kwenye hii namba.

Akatuma, sasa baada ya kutuma akaniuliza huyu nani mbona mwanamke??

Nikatoa maelezo nikajua yameisha.

Kumbe hayajaisha bwana baada ya kuachana pale akafanya mambo yake leo nimepita pale naona hata hataki kuniona.

Nufanyaje wakuu maana mchepuko umenuna kuwa mchepuko mwenzake.

Tutunziane Siri.
 
Nakuona unasutwa hapo
20220614_070057.jpg
 
Kuna wale wanasemaga hawataki mwanamke mwenye kazi maana ataliwa ofisini..haya ngoma hii apa. Mnasemaga kuwa "nataka mama wa nyumbani labda nimfungulie biashara ya mpesa,sijui duka" haya sasa....yakowapi. popote pale mwanamke kama ni mpumbavu atabomoa nyumba.

Awe mazahauzi, sijui muuza maandazi, au ofisini..period!!! Hekima ya kupata mke mwema ni kwa Mungu tu. If you are out of the deal basi tena...labda huruma ya Bwana ikuangazie....
 
Back
Top Bottom