Kunguru wa Manzese
JF-Expert Member
- Apr 20, 2016
- 12,729
- 18,119
Mwanaume kuwa na wanawake wawili bado ni ulemavu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2] Ila Fala SanaMkuu michepuko yote hiyo ya nini? Usije kupata stroke kama ID yako
Sent from my SM-J610F using JamiiForums mobile app
Ongeza bado ni ulemavuNi watatu mkuu.
We bado mtoto. As a man you need to make sure your women never meet or communicate. Sasa wewe ndo umempa na namba afanye muamala kabisa. That level of stupidity sijawahi ona.Jamani nimenuniwa leo.
Mchepuko wangu ni wakala wa Tigo pesa, Mpesa na Airtel Money.
Sasa Mchepuko mpya ukatana nifanye muamala. Bila hiyana nikauambia ule wakala nisaidie kutuma elfu 20 kwenye hii namba. Akatuma, sasa baada ya kutuma akaniuliza huyu nani mbona mwanamke??
Nikatoa maelezo nikajua yameisha. Kumbe hayajaisha bwana baada ya kuachana pale akafanya mambo yake leo nimepita pale naona hata hataki kuniona. Nufanyaje wakuu maana mchepuko umenuna kuwa mchepuko mwenzake.
Tutunziane Siri.
Duh.We bado mtoto. As a man you need to make sure your women never meet or communicate. Sasa wewe ndo umempa na namba afanye muamala kabisa. That level of stupidity sijawahi ona.
Tafuta Hela kijanaJamani nimenuniwa leo.
Mchepuko wangu ni wakala wa Tigo pesa, Mpesa na Airtel Money.
Sasa Mchepuko mpya ukatana nifanye muamala. Bila hiyana nikauambia ule wakala nisaidie kutuma elfu 20 kwenye hii namba. Akatuma, sasa baada ya kutuma akaniuliza huyu nani mbona mwanamke??
Nikatoa maelezo nikajua yameisha. Kumbe hayajaisha bwana baada ya kuachana pale akafanya mambo yake leo nimepita pale naona hata hataki kuniona. Nufanyaje wakuu maana mchepuko umenuna kuwa mchepuko mwenzake.
Tutunziane Siri.
Mchepuko nyomi imebana haswaaa!!Nakuona unasutwa hapo
View attachment 2277750
Tengua kauli yakoMwanaume kuwa na wanawake wawili bado ni ulemavu
Sitengui hiyo ni factTengua kauli yako
Wewe ni pbafu acha ununiweJamani nimenuniwa leo.
Mchepuko wangu ni wakala wa Tigo pesa, Mpesa na Airtel Money.
Sasa Mchepuko mpya ukataka nifanye muamala. Bila hiyana nikauambia ule wakala nisaidie kutuma elfu 20 kwenye hii namba. Akatuma, sasa baada ya kutuma akaniuliza huyu nani mbona mwanamke?
Nikatoa maelezo nikajua yameisha. Kumbe hayajaisha bwana baada ya kuachana pale akafanya mambo yake leo nimepita pale naona hata hataki kuniona. Nifanyaje wakuu maana mchepuko umenuna kuwa mchepuko mwenzake.
Tutunziane Siri.
Sasa ananuna nn na ameshapata muamala ina maana faida tayariJamani nimenuniwa leo.
Mchepuko wangu ni wakala wa Tigo pesa, Mpesa na Airtel Money.
Sasa Mchepuko mpya ukataka nifanye muamala. Bila hiyana nikauambia ule wakala nisaidie kutuma elfu 20 kwenye hii namba. Akatuma, sasa baada ya kutuma akaniuliza huyu nani mbona mwanamke?
Nikatoa maelezo nikajua yameisha. Kumbe hayajaisha bwana baada ya kuachana pale akafanya mambo yake leo nimepita pale naona hata hataki kuniona. Nifanyaje wakuu maana mchepuko umenuna kuwa mchepuko mwenzake.
Tutunziane Siri.
Hawezi sababu anakujua...Na yeye anune 😁
😁😁 yaani? Mbona kama umeniacha..Hawezi sababu anakujua...
Nilishamtambulishaga wewe ni nani kwangu...😁😁 yaani? Mbona kama umeniacha..
😁😁😁 mchina eeh?Nilishamtambulishaga wewe ni nani kwangu...
Anajua wewe nani💕 wangu...