Mchepuko wangu anataka nimgegede bila kinga

Mchepuko wangu anataka nimgegede bila kinga

Hilo la mume mmoja anakudanganya.

Mengine hayahitaji ushauri ni makubaliano yenu na uzinzi wako. Mchuma janga hula na wa kwao
Kuna ndugu kila mtu anaishi kwake, kwa hiyo mchuma janga hula mwenyewe.
 
PUNYETO PEKEE ndio mchepuko wa kavu kavu......bro mbunye chepuko......huhitaji ushauri....CONDOM ni bure bro...VAAA.......tena ukisikia utamu unazidi iangalie,,,,kuna **** zina makali zinaichana......BRO UKIMWI upo...na ARV zimekuwa adimu bro.....oyayayaaaaee
 
Utakapo anza kuombwa hela ya matunzo ya mimba na baadae ya mtoto ndo utaelewa
 
Huyo anataka mimba tuu saizi, hayo mengine ya wewe ni wapili sijui nini hayana maana.
 
Habarini wakuu

Kuna mchepuko wangu anataka nimgegede bila kinga. Anasema condom ya nini sasa, yeye anataka nyama to nyama.

Nimemwambia lazima tupime zaidi ya mara moja amekubali na anadai yeye amewahi kuwa na mahusiano na mwanaume mmoja tu , tena ndiye aliyemzalisha.

Ushauri wenu wadau nimgegede??
Kwa hiyo sisi huu upuuzi wako una tuhusu nini?
 
Jifukize kwanza kabla ya kwenda kwenye mechi.
 
Back
Top Bottom