Mazindu Msambule
JF-Expert Member
- Feb 22, 2012
- 7,510
- 6,877
Du!!Mwenyezi Mungu amlaze mahala pema peponi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Du!!Mwenyezi Mungu amlaze mahala pema peponi
mkuu unauliza embe kibada?Unamfahamu?
Du; haya bwana. Mimi haki akili zimenisisimka kabisa kwa hiyo story. Halafu Kibada sasa hivi maembe yameisha bhana, sio kama zamani miaka ya 90 huo msemo ulibamba sana yaani.mkuu unauliza embe kibada?
Mkuu hili Ni pigo kubwa Sana kwenye tasnia! Ameacha legacy kubwa Sana kuliko ya pombe mwendakuzimu magufooll.Hebu ambatanisha na kazi zake alizowahi kurekodi ili tumuenzi kwa vitendo.
Hivi hujamuacha Juliana Shonza mpaka leo mkuu?Daah alikuwa role model wa demu wangu
Kwa raha nazopewa, labla kifo kitutenganisheHivi hujamuacha Juliana Shonza mpaka leo mkuu?
Hawa wacheza filamu za ngono mbona hufa umri mdogo na vifo vya utata kunani jamani?
Au midudu wanayofanywa huwaharibu akili zao au ushwetani mhhhh?
Duh hii tabia kumbe iko Hadi mbele,Mimi naona ni ujinga kuwatenga wakati hzo filamu zina watazamaji wengi wakisharizika sirini wanawashambulia na kuwabullyKikubwa kinachowatesa ni kuwa wanatengwa na jamii, maishi ya kutengwa na jamii hupelekea uchizi ambao huchangiwa kuzalishwa na mtu kuwa mlevi wa kupindukia na matumizi ya madawa.
Ndio hivyo ndugu . Kwenye hii industry wanawake wanapitia mateso sana hadi huruma.ndio maana kuna nchi na pia baadhi ya states za Marekani hukohuko zinapiga vita filamu za ngono.maana zinaharibu jamii kwa kiasi kikubwa
Shukran mdauNafikiri ni New Zealand ndiyo nchi ambayo (kwa wazungu) imefungia video za ngono nchini mwao. Huwezi kuzipata kwenye mitandao.
Mkuu, unaniita mdau tena? 😮Shukran mdau
Hiyo mi nilikuwa nasikiliza lecturer kutoka kwa philosopher mmoja wa US akizungumzia kuhusu mmonyoko wa maadili US.Shukran mdau
Duh sorry asee .sijakusudia na wala sijamaanisha ulivyowaza [emoji23]Mkuu, unaniita mdau tena? [emoji50]
Mmomonyoko wa maadili unaitiksa dunia kila kona yaani.na the bitter truth ni kwamba jamii yetu ya kiafrika ndio wahanga wakubwaHiyo mi nilikuwa nasikiliza lecturer kutoka kwa philosopher mmoja wa US akizungumzia kuhusu mmonyoko wa maadili US.
😁Duh sorry asee .sijakusudia na wala sijamaanisha ulivyowaza [emoji23]