TANZIA Mcheza filamu za ngono maarufu nchini Urusi, Kristina Lisina Afariki Dunia

TANZIA Mcheza filamu za ngono maarufu nchini Urusi, Kristina Lisina Afariki Dunia

..alikua anatoa mbele na nyuma Kwa kiwango kikubwa...kapigwa Sana mku.ndu...na amewakojolesha mamilioni Kwa puli...
 
Hebu ambatanisha na kazi zake alizowahi kurekodi ili tumuenzi kwa vitendo.
Mkuu hili Ni pigo kubwa Sana kwenye tasnia! Ameacha legacy kubwa Sana kuliko ya pombe mwendakuzimu magufooll.
Tasnia inayumba Sana Mara Mia kakimbia tasnia,Mara Kristina kajiua dah
 
Hawa wacheza filamu za ngono mbona hufa umri mdogo na vifo vya utata kunani jamani?
Au midudu wanayofanywa huwaharibu akili zao au ushwetani mhhhh?

Kikubwa kinachowatesa ni kuwa wanatengwa na jamii, maishi ya kutengwa na jamii hupelekea uchizi ambao huchangiwa kuzalishwa na mtu kuwa mlevi wa kupindukia na matumizi ya madawa.
 
Kikubwa kinachowatesa ni kuwa wanatengwa na jamii, maishi ya kutengwa na jamii hupelekea uchizi ambao huchangiwa kuzalishwa na mtu kuwa mlevi wa kupindukia na matumizi ya madawa.
Duh hii tabia kumbe iko Hadi mbele,Mimi naona ni ujinga kuwatenga wakati hzo filamu zina watazamaji wengi wakisharizika sirini wanawashambulia na kuwabully
 
Nafikiri ni New Zealand ndiyo nchi ambayo (kwa wazungu) imefungia video za ngono nchini mwao. Huwezi kuzipata kwenye mitandao.
Ndio hivyo ndugu . Kwenye hii industry wanawake wanapitia mateso sana hadi huruma.ndio maana kuna nchi na pia baadhi ya states za Marekani hukohuko zinapiga vita filamu za ngono.maana zinaharibu jamii kwa kiasi kikubwa
 
Hiyo mi nilikuwa nasikiliza lecturer kutoka kwa philosopher mmoja wa US akizungumzia kuhusu mmonyoko wa maadili US.
Mmomonyoko wa maadili unaitiksa dunia kila kona yaani.na the bitter truth ni kwamba jamii yetu ya kiafrika ndio wahanga wakubwa
 
Back
Top Bottom