Mcheza Kwao Hutunzwa.....

Mcheza Kwao Hutunzwa.....

Na wewe heri ya mwaka mpya pia.
Smart lazima apalilie vizuri mwakani mwezi wa 9 mavuno yawe ya twins[emoji480] [emoji12] [emoji23] [emoji23] [emoji23]


Ndukiiiii[emoji125] [emoji125] [emoji125]

Mmmhhh wewe toziii. ...... hivi mtu akifika menopouzi uwezo wa kuzaa mapacha bado unakuwepo?
Kamnyangala kaneee
 
Mimi naujua ule the famous'sensema malunde'
Wana Tabora Jazz wanajua kuupiga huu. Unatukumbusha mbalu sana wengine

Mwanamke bobaa bobaa aaaeeeh bobaa mwanamke bobaa bobaa aaaeeeh bobaa

Kasinde kusensema....

Sensema malunde sensema sensema
Kasie na kusensema....

Sensema malunde sensema sensemaa.

Nashukuru kukumbumbusha wakati wa zamani, furahia wakati ngoma za kwetu.
 
Mmmhhh wewe toziii. ...... hivi mtu akifika menopouzi uwezo wa kuzaa mapacha bado unakuwepo?
Kamnyangala kaneee
Mkulima mzuri mazao yake lazima yawe mazuri na yalio nawiri. Akijua kupalilia hata ufike 60s utatoa mazao pacha tu.[emoji6] [emoji39]


Ndukiiiii[emoji125] [emoji125] [emoji125]
 
Habari ya usiku wapendwa,

Yako wa yamesalia masaa machache ili kuanza safari ya mapumziko na kusheherekea sikukuu za Krismasi na mwaka Mpya 2017, basi nikiwa naandaa vitu vya safari leo nikiwa na my boo Smart911 .... ghafla nikashukiwa na upako wa kuanza kucheza na kuimba wimbo huu wa kinyamwezi. Hehehehee ameburudikajee maana hakuchoka kunitazama na kutabasamu kwa kila nilichofanya.

Wimbo wenyewe unaimbwa hivi ...... Japo sijajua yanatamkwaje..... tumbo na kucheza pamoja. Hii ni furaha ya safari heheheheheheh

Kamnyangala kane mayuu Kamnyangala kanee
Kamnyangala kane mayuu Kamnyangala kanee

Bwana dereva kanyagaa motooo
Kamnyangala kanee......

Sasa hapo mabega na nyonga ndo zinanesanesa........
Kamnyangala kane mayuu.... tucheze pamoja na wale wanaojua maana karibuni.

Happy Holidays Everyone! !


🙂😛🙂😛 Unacheza mpaka unasema huwezi kufanya nini? What a lovely day...
 
Acha nikautafute ule uzi, nauhakika smart911 kala mzigo kilaini. [emoji39] [emoji23] [emoji23]
Smart911 hana mapepe kama binamu alietaka kula nyama ya hamu.[emoji16] [emoji6] [emoji38] [emoji38]


Ndukiiiii[emoji125] [emoji125] [emoji125]

Siyo issue ya kula mzigo kiulaini.. ila kuna wanawake wanajua kupenda... akikupenda una enjoy sana... ni kama Kasinde... Hivi unadhani kasinde unaweza kumla kiulani kweli...
 
Hahahahaha hii sio penda mugongo unanikumbusha ule wimbo wa taarab ya pembe la ng'ombe. ....

Hii ni kutingisha mabega na nyonga huku unasogea kiupande upande ukicheza taratibuuu raha sana asikwambie mtu ukianza kucheza hili goma humalizi wala huchoki raha tuu hehehehehee

Kamnyangala kanee. ...
Hahahahaaaaaa..................kamnyangala kaneeee ngoja nikushike kiuno ukatike vzr

Kamnyangalaaaaaa......
 
magri yakwenda kwenu ni mengi sio kama kule kas, raha jipatie mwenyew na wazee
 
Hahahahaha hii sio penda mugongo unanikumbusha ule wimbo wa taarab ya pembe la ng'ombe. ....

Hii ni kutingisha mabega na nyonga huku unasogea kiupande upande ukicheza taratibuuu raha sana asikwambie mtu ukianza kucheza hili goma humalizi wala huchoki raha tuu hehehehehee

Kamnyangala kanee. ...
Kamnyangale kaneeeee,kamnyangale kaneeee,bwana deleva kapiga mbolooooo kaa mnyangale kaaanee,naheneee mabholoo gawiza naguchima mwanawaneee,na linyoro lyagutepetaa kamnyangale kaaanee,naguchima linyorooo kamnyangalee kaneee,nyaanooko yaaa nzobeeeee kamnyangala kaane,nagamsino gako kamnyamgaleee kaaane,naguchimaaa nagutepeshaaa kamnyangalaa kanee,UPO HAPO KASINDE????????????.
 
Habari ya usiku wapendwa,

Yako wa yamesalia masaa machache ili kuanza safari ya mapumziko na kusheherekea sikukuu za Krismasi na mwaka Mpya 2017, basi nikiwa naandaa vitu vya safari leo nikiwa na my boo Smart911 .... ghafla nikashukiwa na upako wa kuanza kucheza na kuimba wimbo huu wa kinyamwezi. Hehehehee ameburudikajee maana hakuchoka kunitazama na kutabasamu kwa kila nilichofanya.

Wimbo wenyewe unaimbwa hivi ...... Japo sijajua yanatamkwaje..... tumbo na kucheza pamoja. Hii ni furaha ya safari heheheheheheh

Kamnyangala kane mayuu Kamnyangala kanee
Kamnyangala kane mayuu Kamnyangala kanee

Bwana dereva kanyagaa motooo
Kamnyangala kanee......

Sasa hapo mabega na nyonga ndo zinanesanesa........
Kamnyangala kane mayuu.... tucheze pamoja na wale wanaojua maana karibuni.

Happy Holidays Everyone! !
Amen RA
 
Mkulima mzuri mazao yake lazima yawe mazuri na yalio nawiri. Akijua kupalilia hata ufike 60s utatoa mazao pacha tu.[emoji6] [emoji39]


Ndukiiiii[emoji125] [emoji125] [emoji125]

Hizo mbio zako mbona hufiki unakoenda kila saa unarudi? Hupokelewi au unafukuzwa?
 
🙂😛🙂😛 Unacheza mpaka unasema huwezi kufanya nini? What a lovely day...

I love you darling, thanks for everything that you have done to me, it is a super suprise..... leaning on your shoulder while speaking sweet nothing words. ... muah
 
Hahahaha anataka ashuhudie mikao... ole wako utoe picha no honey for you na kesho njia nzima hakuna kuongea wala kukugusana...

Kile unachonikataza ndo sheria, kwako nazitii bila shuruti. ... nakupenda sana Smart......
 
Hahahahaaaaaa..................kamnyangala kaneeee ngoja nikushike kiuno ukatike vzr

Kamnyangalaaaaaa......

Weeh shika cha kwako au cha mkeo. ....
 
Kamnyangale kaneeeee,kamnyangale kaneeee,bwana deleva kapiga mbolooooo kaa mnyangale kaaanee,naheneee mabholoo gawiza naguchima mwanawaneee,na linyoro lyagutepetaa kamnyangale kaaanee,naguchima linyorooo kamnyangalee kaneee,nyaanooko yaaa nzobeeeee kamnyangala kaane,nagamsino gako kamnyamgaleee kaaane,naguchimaaa nagutepeshaaa kamnyangalaa kanee,UPO HAPO KASINDE????????????.

Hapo uko mwenyewe, mie niko mpenz wangu bin mahabuba Smart911
 
Back
Top Bottom