Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna wa kuharibu kama ipo ipo tu... Mungu pekee ndiyo mwenye maamuzi ya mwanzo na mwisho.. usijali...
Hahaha... Ubishi kwisha sasa... Nilikuambia usiseme unanijaribu kama unaingia ingia mazima... hahaha...
Hiv ka"UMRI" kameenda....? maana unaonekana "MZEE''...au ndio binti wa miaka ya 70's
Hiv ka"UMRI" kameenda....? maana unaonekana "MZEE''...au ndio binti wa miaka ya 70's
Kwisha habari yangu hahahahaa Kasinde kwishney mbele ya Smart911 mbona nimeufyata hahahah
Nibishe nini tena kwako na mahaba yako mazito mazito nikikohoa tuu umeniletea maji kwakweli wewe ni zaidi ya mpenz. Nakupenda na nakuheshimu
You know what..... you a fully packed. I don't need any Christmas present.... you are the best present I've ever received, felling blessed to be your lover.
Ni wanaume wachache sana wanaomtegemea Mungu, japo juhudi binafsi zipo ila Mungu nae ana uepo wake, umeniongezea mahaba kwako la aziz Smart mmuah! !
Ooh my..... when you say amarula..... I feel thirsty you are totally killing me softly especially when you kiss me gently wondering and swallowing amarula from your mouth hahahahahahaa you drink it, not swallowing it, you gently kiss me and let me drink the amarula...... ooh what a love....
Just like doves.... I love you darling a million times.
Nakupenda pia... Unakumbuka kipindi ulichokuwa unacheka kwa dharaaau... hahaha...
I told you i will be your secret Santa and you will be carried away... You at you know, all over each other...
Hahaha.. i can imagine how you were looking at me so politely and whispered on my ears, smart why are you torturing me like this... what do you want? huku ukiwa umelegea kabisa kama vile siyo yule Kasinde mbabe, ambae ukimwaga ugali nae anamwaga mboga... town wanasema kama mbwai na iwe mbwai tu...
Hahahahahhaaa mpenz basi usiendelee unaamsha hisia ujue, sasa hapa si zangu tuu hata za majirani nazo zitaamka. Ila wakitushtaki hakuna shida, mwanasheria mwenyewe niko hapa ntasimamia kesi wakigoma tutatumia mwanasheria wetu.
Kuna muda nikijiangalia siamini kama umeniweza kwa ubabe na ubishi wote ule nlikuwa nao...... salute kwako mahabuba, muah!!!!
Kwa hyo Shem Leo nozel zitatema bila kuchokaHabari ya usiku wapendwa,
Yako wa yamesalia masaa machache ili kuanza safari ya mapumziko na kusheherekea sikukuu za Krismasi na mwaka Mpya 2017, basi nikiwa naandaa vitu vya safari leo nikiwa na my boo Smart911 .... ghafla nikashukiwa na upako wa kuanza kucheza na kuimba wimbo huu wa kinyamwezi. Hehehehee ameburudikajee maana hakuchoka kunitazama na kutabasamu kwa kila nilichofanya.
Wimbo wenyewe unaimbwa hivi ...... Japo sijajua yanatamkwaje..... tumbo na kucheza pamoja. Hii ni furaha ya safari heheheheheheh
Kamnyangala kane mayuu Kamnyangala kanee
Kamnyangala kane mayuu Kamnyangala kanee
Bwana dereva kanyagaa motooo
Kamnyangala kanee......
Sasa hapo mabega na nyonga ndo zinanesanesa........
Kamnyangala kane mayuu.... tucheze pamoja na wale wanaojua maana karibuni.
Happy Holidays Everyone! !
Hahahahahahhaa Smart911. ...... I love you more and more...... you know how to squeeze. ....
Lakini sio kama Kasinde bhana? naomba uniite nije nikachezee hako kamyangala kako bhana au vipi?Polee si kusudio langu, ila si haba unakuwa umepata stater ya kunanihii na wifi.
Na mimi basi Kasie,yaani nina hamu na huo mbusu we acha tu.Muah Muah muda mmmmuuuahhhh! !!!
I Love You... Smart.