kiboboso
JF-Expert Member
- Sep 17, 2013
- 9,323
- 12,594
Kumbe kuna maajuza hivi khaa umenichosha sasa
Hahahah [emoji43][emoji43]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbe kuna maajuza hivi khaa umenichosha sasa
Hahahah [emoji43][emoji43]
HongeraHabari ya usiku wapendwa,
Yako wa yamesalia masaa machache ili kuanza safari ya mapumziko na kusheherekea sikukuu za Krismasi na mwaka Mpya 2017, basi nikiwa naandaa vitu vya safari leo nikiwa na my boo Smart911 .... ghafla nikashukiwa na upako wa kuanza kucheza na kuimba wimbo huu wa kinyamwezi. Hehehehee ameburudikajee maana hakuchoka kunitazama na kutabasamu kwa kila nilichofanya.
Wimbo wenyewe unaimbwa hivi ...... Japo sijajua yanatamkwaje..... tumbo na kucheza pamoja. Hii ni furaha ya safari heheheheheheh
Kamnyangala kane mayuu Kamnyangala kanee
Kamnyangala kane mayuu Kamnyangala kanee
Bwana dereva kanyagaa motooo
Kamnyangala kanee......
Sasa hapo mabega na nyonga ndo zinanesanesa........
Kamnyangala kane mayuu.... tucheze pamoja na wale wanaojua maana karibuni.
Happy Holidays Everyone! !
HahahaHahahaha haya makaburi yanayofukuliwa hivi yatamsababishia mtu kichaa aisehhhh
kuna mtu anajipa moyo yaani mpaka huruma hivi aisehh.
mwenzetu ana macho ya bandia ila huyu shemela ni kipofu aisehhh...
haijawahi kutokea duhh huyu shemela akawa na macho ya gololi. Sijui anakojozwa sana yaani dushe linagonga kila kona...
Hahahaha anataka ashuhudie mikao... ole wako utoe picha no honey for you na kesho njia nzima hakuna kuongea wala kukugusana...
Siyo issue ya kula mzigo kiulaini.. ila kuna wanawake wanajua kupenda... akikupenda una enjoy sana... ni kama Kasinde... Hivi unadhani kasinde unaweza kumla kiulani kweli...
I love you darling, thanks for everything that you have done to me, it is a super suprise..... leaning on your shoulder while speaking sweet nothing words. ... muah
Mpenz usiseme watatuharibia hawa..... mie nakupenda na kwako ndio nimefunga breki.
Kile unachonikataza ndo sheria, kwako nazitii bila shuruti. ... nakupenda sana Smart......
Hapo uko mwenyewe, mie niko mpenz wangu bin mahabuba Smart911
Ooh my..... when you say amarula..... I feel thirsty you are totally killing me softly especially when you kiss me gently wondering and swallowing amarula from your mouth hahahahahahaa you drink it, not swallowing it, you gently kiss me and let me drink the amarula...... ooh what a love....
Just like doves.... I love you darling a million times.
You know what..... you a fully packed. I don't need any Christmas present.... you are the best present I've ever received, felling blessed to be your lover.
Ni wanaume wachache sana wanaomtegemea Mungu, japo juhudi binafsi zipo ila Mungu nae ana uepo wake, umeniongezea mahaba kwako la aziz Smart mmuah! !
Kwisha habari yangu hahahahaa Kasinde kwishney mbele ya Smart911 mbona nimeufyata hahahah
Nibishe nini tena kwako na mahaba yako mazito mazito nikikohoa tuu umeniletea maji kwakweli wewe ni zaidi ya mpenz. Nakupenda na nakuheshimu
Hehehehhee asante kwa niaba kwa kutambua nafasi yake.
Hahahahahahahaaaa yaani we acha tuu saa hizi natabasamu kwa haina na soni, sio kuwa naremba mazungumzo ila penzi lako tamu mpenz, nakupenda hasa unaponikamatia chini heheheheheh mmuaah!!! Tuendelee kukamatana mpenz wangu hakuna namna mimi nawe daima dumu damuni, Amina.
I've agree my love, on the first place I just look at you. But when I get into you I see you and am not gonna let you go..... Love you mingi sweet darling.
Hahahahahhaaa mpenz basi usiendelee unaamsha hisia ujue, sasa hapa si zangu tuu hata za majirani nazo zitaamka. Ila wakitushtaki hakuna shida, mwanasheria mwenyewe niko hapa ntasimamia kesi wakigoma tutatumia mwanasheria wetu.
Kuna muda nikijiangalia siamini kama umeniweza kwa ubabe na ubishi wote ule nlikuwa nao...... salute kwako mahabuba, muah!!!!
Ukizipandisha unakuwa mbishi mpaka upate... Sorry to make you drink Amarura badala ya ile juice...