Hzi stats zinatisha, π sema ya kushusha daraja timu tatu na kufail South Africa nayo inasound good...!! Hata hvyo viongozi wengi wa kiafrica ni wazee wa 10% ..matumizi ya ubongo Africa ni nadra Sana , tumbo ndo hutangulia maamuzKama timu inasajili mchezaji mwenye magoli 2 michezo 48 tena wa kigeni iweje kwa mzawa tena mwenye magoli 6 mechi 15?
Sasa hivi hawasajili mchezaji kwasababu anajua,ila wanasajili kutokana na bajeti yao iliyopoKwamba huenda ukawa unaujua mpira kushinda viongozi wa Simba waliomsajili na watakaomlipa?
Jifunze kuandika jamii forum ina mbumbumbu kumbe#GuvuMoya
Naona umeshachanganyikiwa Mzee,unajibu comments za watu tofauti kwenye reply yanguHii ya injury prone ntakuunga mkono kwamba inatisha ila kufail majarbio kule hakumfanyi awe hafai,sundowns si timu ndogo and u dnt knw nn kilimkwamisha, mwsho viongozi nadhani wameangalia mengi sana na mazito si hvi vvtu vduchu vyako.
Umetoa wap abt hujuma na hao simba wanafanikiwa na nni kuhujumu hzo timu?
Walitudanganyaga hawa hawa kuwa oh tumetumia watalaam kutoka nje na system za uchambuzi kuwapata hawa wachezaji wakibrazil....mwisho wake nadhani wote tunajua. Haya mambo ya kuendekeza matumbo tabu sanaHzi stats zinatisha, π sema ya kushusha daraja timu tatu na kufail South Africa nayo inasound good...!! Hata hvyo viongozi wengi wa kiafrica ni wazee wa 10% ..matumizi ya ubongo Africa ni nadra Sana , tumbo ndo hutangulia maamuz
Alienda kwenye majaribio akatolewa kwa mkopo mpaka anafika mbao baada ya kufeli vibaya uko PSLYah,pia kacheza under 20 ya sundowns ya south Africa, so he got basics za soka
Ohoooo !!!Kuweka data vzr pia aliishusha na Singida United
Amezihujumu vipi ?...au unajaribu kumchafulia CV ?....acha uchawi.Bado sijaelewa sababu hasa za Habibu Kyombo kusajiliwa na Simba , timu mbili alizochezea zimeshuka daraja , sasa labda Timu yetu ya Simba itufichulie kama inamlipa fadhila baada ya kushiriki kuzihujumu timu za Mbao na Mbeya Kwanza , kama alitumwa kufanya hivyo .
Nakaribisha maswali .
Bado sijaelewa sababu hasa za Habibu Kyombo kusajiliwa na Simba , timu mbili alizochezea zimeshuka daraja , sasa labda Timu yetu ya Simba itufichulie kama inamlipa fadhila baada ya kushiriki kuzihujumu timu za Mbao na Mbeya Kwanza , kama alitumwa kufanya hivyo .
Nakaribisha maswali .
Kwamba huenda ukawa unaujua mpira kushinda viongozi wa Simba waliomsajili na watakaomlipa?
Shangaa as if hizo timu zilikuwa na Kyombo peke yake
Hii ya injury prone ntakuunga mkono kwamba inatisha ila kufail majarbio kule hakumfanyi awe hafai,sundowns si timu ndogo and u dnt knw nn kilimkwamisha, mwsho viongozi nadhani wameangalia mengi sana na mazito si hvi vvtu vduchu vyako.
Umetoa wap abt hujuma na hao simba wanafanikiwa na nni kuhujumu hzo timu?
mpira haupo ivo mze.. usajili wa mchezaji kinachotizamwa ni performance yake uwanjani..
roy keane - man utd walimsajili kutoka nottingham forest ambay ilishuka daraja.
andrew robertson - liverpool walimsajili kutoka hull city ambay ilishuka daraja.
nathan ake - man city walimsajili kutoka bournemouth ambayo ilishuka daraja.
Simba wangeacha Yanga wamalize jambo lao kwanza ndio waje na huu ujinga wao.
Watu tumemind sababu wameingilia mambo ya siku ya Yanga wakati kabla ya hapo walituahidi hadi baada ya Eid.
Afu wanatuletea kituko
Huo msemo ni watajiri wenu Mwamedi Bin KanjiJifunze kuandika jamii forum ina mbumbumbu kumbe
Nyie endeleeni kuchezea shilingi chooni, Kwa usajili mnao ufanya zipo Dalili za timu kushuka Daraja.Kama timu inasajili mchezaji mwenye magoli 2 michezo 48 tena wa kigeni iweje kwa mzawa tena mwenye magoli 6 mechi 15?