Mchezaji anaitwa 'Zoa Zoa' unategemea kuna jipya kweli hapo?

Mchezaji anaitwa 'Zoa Zoa' unategemea kuna jipya kweli hapo?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Kwahiyo baada ya Kumkosa Mchezaji mliyekuwa mnamtaka mno na mmemsotea sana aitwae Zougrana wa Asec Abidjan FC na sasa Kasajiliwa USM Algers ili Kuwazuga Mashabiki wenu mmeamua Kusajili Wachezaji Wawili kutoka Asec Abidjan FC akiwemo huyu Zoa Zoa wenu?

Na kwa jinsi hizo Maliwato za Avic Town Kigamboni zinavyochafuliwa hovyo na akina Mwamnyeto, Job, Mauya, Kibwana na Mzize huyu Mchezaji wenu mpya Zoa Zoa atayazoa kweli kweli hadi Kujuta kwanini kaja Tanzania kujiunga nanyi.

Kudadadeki.....!!
 
Kwahiyo baada ya Kumkosa Mchezaji mliyekuwa mnamtaka mno na mmemsotea sana aitwae Zougrana wa Asec Abidjan FC na sasa Kasajiliwa USM Algers ili Kuwazuga Mashabiki wenu mmeamua Kusajili Wachezaji Wawili kutoka Asec Abidjan FC akiwemo huyu Zoa Zoa wenu?

Na kwa jinsi hizo Maliwato za Avic Town Kigamboni zinavyochafuliwa hovyo na akina Mwamnyeto, Job, Mauya, Kibwana na Mzize huyu Mchezaji wenu mpya Zoa Zoa atayazoa kweli kweli hadi Kujuta kwanini kaja Tanzania kujiunga nanyi.

Kudadadeki.....!!
sema wewe mjanja sana,unawwachamba yanga mapema coz huna uhakika ligi ikianza kama utapata nafasi hii?
maana injinia akishaongozaga ligi ndo mpk ubingwa...nyuz zako zitakuwa za kuwalaumu vilaza wenzio mangungu na try again kwa usajili mbovu
 
Kwahiyo baada ya Kumkosa Mchezaji mliyekuwa mnamtaka mno na mmemsotea sana aitwae Zougrana wa Asec Abidjan FC na sasa Kasajiliwa USM Algers ili Kuwazuga Mashabiki wenu mmeamua Kusajili Wachezaji Wawili kutoka Asec Abidjan FC akiwemo huyu Zoa Zoa wenu?

Na kwa jinsi hizo Maliwato za Avic Town Kigamboni zinavyochafuliwa hovyo na akina Mwamnyeto, Job, Mauya, Kibwana na Mzize huyu Mchezaji wenu mpya Zoa Zoa atayazoa kweli kweli hadi Kujuta kwanini kaja Tanzania kujiunga nanyi.

Kudadadeki.....!!
League ikianza hatutaki malalamiko yako kwa viongozi wako wa kolowizard kama kawaida yako
Kipindi hiki unatamba sana popoma
 
Kwahiyo baada ya Kumkosa Mchezaji mliyekuwa mnamtaka mno na mmemsotea sana aitwae Zougrana wa Asec Abidjan FC na sasa Kasajiliwa USM Algers ili Kuwazuga Mashabiki wenu mmeamua Kusajili Wachezaji Wawili kutoka Asec Abidjan FC akiwemo huyu Zoa Zoa wenu?

Na kwa jinsi hizo Maliwato za Avic Town Kigamboni zinavyochafuliwa hovyo na akina Mwamnyeto, Job, Mauya, Kibwana na Mzize huyu Mchezaji wenu mpya Zoa Zoa atayazoa kweli kweli hadi Kujuta kwanini kaja Tanzania kujiunga nanyi.

Kudadadeki.....!!
Kama jina ndio hoja, ungeanza ni Esomba.

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji196][emoji196][emoji196]
 
Kwahiyo baada ya Kumkosa Mchezaji mliyekuwa mnamtaka mno na mmemsotea sana aitwae Zougrana wa Asec Abidjan FC na sasa Kasajiliwa USM Algers ili Kuwazuga Mashabiki wenu mmeamua Kusajili Wachezaji Wawili kutoka Asec Abidjan FC akiwemo huyu Zoa Zoa wenu?

Na kwa jinsi hizo Maliwato za Avic Town Kigamboni zinavyochafuliwa hovyo na akina Mwamnyeto, Job, Mauya, Kibwana na Mzize huyu Mchezaji wenu mpya Zoa Zoa atayazoa kweli kweli hadi Kujuta kwanini kaja Tanzania kujiunga nanyi.

Kudadadeki.....!!
Hata Joyce Romalisa si mlikebehi jina lake? Shughuri yake si mmeiona?

Sasa huyu ndio balaa na nusu.
 
Kwahiyo baada ya Kumkosa Mchezaji mliyekuwa mnamtaka mno na mmemsotea sana aitwae Zougrana wa Asec Abidjan FC na sasa Kasajiliwa USM Algers ili Kuwazuga Mashabiki wenu mmeamua Kusajili Wachezaji Wawili kutoka Asec Abidjan FC akiwemo huyu Zoa Zoa wenu?

Na kwa jinsi hizo Maliwato za Avic Town Kigamboni zinavyochafuliwa hovyo na akina Mwamnyeto, Job, Mauya, Kibwana na Mzize huyu Mchezaji wenu mpya Zoa Zoa atayazoa kweli kweli hadi Kujuta kwanini kaja Tanzania kujiunga nanyi.

Kudadadeki.....!!
huyu zoa zoa ndio kiboko yenu atawazoa balaa

Sent from my CPH2371 using JamiiForums mobile app
 
😃 Huyu jamaa kuna hatua fulani ya makuzi katika maisha atakuwa aliiruka. Na kwa sasa ndiyo ameanza kuipitia.
Maana unaweza ukajiuliza maswali mengi, halafu mwisho wa siku ukaishia tu kukosa majibu.
Hatua pekee niliyoiruka ni ya Kutobanduliwa tu Unyabengani Kwangu kama Wewe na huyo Boya uliyemjibu hapo juu.
 
Unamaanisha yule muuza mihogo maarufu wa soko la Kawe, Mzee Cherehani!! Kupitia maelezo yake mwenyewe, eti alikataa! Badala yake alikubali kukatwa tu sikio la kushoto na vidole vya mkono!
Naona kila mara unapenda Kumtajataja huyo Basha wako Tukuka. Hongera mno.
 
Amepitia mengi! japo anadai alichagua kukatwa vidole lakini juzi nmemuona kavaa shati lake la vitenge hana ulemavu isipokua mwendo tu ume change
Naona umeamua kutoa Kwetu Siri za Baba yako alivyofanyiwa kwa Kosa lake. Tunakushukuru.
 
Back
Top Bottom