Mchezaji anayeisababishia timu yake kupata penati ihesabike kama assist.

Mchezaji anayeisababishia timu yake kupata penati ihesabike kama assist.

May Day

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2018
Posts
6,311
Reaction score
9,027
Hii haitozihusu zile penati zinazopatikana kwa beki kuunawa mpira ndani ya 18.Iwapo Mchezaji kapambana na kusababisha penati alafu hapewi fursa ya kupiga yeye basi walau ahesabiwe kama ame assist.Haina maana Mtu apambane asababishe penati tatu kwa mfano alafu zote zipigwe na mwingine,sifa zote ziende kwa mpigaji/wapigaji yeye abaki bila.
 
Assist akifunga, akikosa je??? Terrible idea
 
Back
Top Bottom