Kalpana
JF-Expert Member
- Jun 16, 2017
- 32,603
- 62,269
Ulipozaliwa wewe...Umeanza kufuatilia lini mpira?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ulipozaliwa wewe...Umeanza kufuatilia lini mpira?
Aliewaita Vilaza tumuongezee mshahara..Aliewaita mbumbumbu mbinguni mazima.
swali lako linahusu nini?.Kipi mmeigwa mkuu
We si umesema tuendelee kuiga mazuri ya simba, nimeuliza ni kitu gani tulichowaiga?swali lako linahusu nini?.
Achanae huyo, kaanza kufuatilia mpira Azam TVWe si umesema tuendelee kuiga mazuri ya simba, nimeuliza ni kitu gani tulichowaiga?
Endeleeni kuiga mazuri ya Simba...Simba ni bulldozer anachonga njia
Hata Jf nao wameiga .Si vibaya jambo zuri kuigwa.
Tena mmelifanyia na upgrade kwa kuongeza kiasi cha pesa anachopewa mshindi.
Hatua nzuri
Shida watu wamekalili, lakini kusema kweli Zengeli hapo hana mpinzani!! Azizi Ki ni cha mtoto!! Nzengeli ana vyote alivyo navyo Azizi Ki kisha kuwa na ziada!!Hapo ni Aziz ki
Mmh [emoji102]Shida watu wamekalili, lakini kusema kweli Zengeli hapo hana mpinzani!! Azizi Ki ni cha mtoto!! Zengele ana vyote alivyo navyo Azizi Ki kisha kuwa na ziada!!