Rajab_Omar
JF-Expert Member
- May 15, 2016
- 16,482
- 27,182
Yani Tumepoteza muda Tu Kumjibu Mtoa Post! Kiukweli Hicho Kikosi Bora Cha Wedi Kapu Alichokiweka Chenye Wachezaji 6 Wa EPL Kinatosha Kumjibu mwenyewe Hiyo Mihemko Yake.
Anashindwa Kufikiri Kuwa Pale Hakuingizwa na La Liga Bali Kaingizwa na Croatia Kwani Huyuhuyu Modrich angelikuwa Kaichezea Argentina, Brazil, Germany au Spain Basi asingeliingia Hata Katika Kikosi bora.
Na Belgium ingelicheza Fainal na France basi Hata Hazard angelikuwa yeye ndiye Mchezaji Bora.
Huwezi niambia Kuwa Modric Ni Bora Kuliko Messi.. Lakini Mafanikio ya Timu zao za Taifa Ndiyo Yaliyowatofautisha.
Anashindwa Kufikiri Kuwa Pale Hakuingizwa na La Liga Bali Kaingizwa na Croatia Kwani Huyuhuyu Modrich angelikuwa Kaichezea Argentina, Brazil, Germany au Spain Basi asingeliingia Hata Katika Kikosi bora.
Na Belgium ingelicheza Fainal na France basi Hata Hazard angelikuwa yeye ndiye Mchezaji Bora.
Huwezi niambia Kuwa Modric Ni Bora Kuliko Messi.. Lakini Mafanikio ya Timu zao za Taifa Ndiyo Yaliyowatofautisha.