Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umeandika kimbeya sana.Wakala wa mchezaji Ellie Mpanzu anayefahamika kwa jina la Papida amesema mchezaji wake bado anadai sehemu ya malipo yaliyobakia ambapo inadaiwa mpaka sasa kuwa hayajakamilishwa.
Papida ameweka ngumu kwamba kama malipo hayo kama hayatakamilishwa mpaka kufikia Ijumaa hii basi wasitarajie kumuona mchezaji huyo akirejea kunako Ligi kuu Bara.
Inaelezwa kwamba tangu Jumatatu mchezaji huyo hajaonekana katika viunga vya mazoezi ikidaiwa kwamba anahitaji kukamilishiwa deni lake ndipo aendelee na ratiba ya kusalia klabuni hapo.
Kenge weweWakala wa mchezaji Ellie Mpanzu anayefahamika kwa jina la Papida amesema mchezaji wake bado anadai sehemu ya malipo yaliyobakia ambapo inadaiwa mpaka sasa kuwa hayajakamilishwa.
Papida ameweka ngumu kwamba kama malipo hayo kama hayatakamilishwa mpaka kufikia Ijumaa hii basi wasitarajie kumuona mchezaji huyo akirejea kunako Ligi kuu Bara.
Inaelezwa kwamba tangu Jumatatu mchezaji huyo hajaonekana katika viunga vya mazoezi ikidaiwa kwamba anahitaji kukamilishiwa deni lake ndipo aendelee na ratiba ya kusalia klabuni hapo.
sawa acheze mpanzu asicheze kipigo kwa nyuma mwiko kipo palepaleWakala wa mchezaji Ellie Mpanzu anayefahamika kwa jina la Papida amesema mchezaji wake bado anadai sehemu ya malipo yaliyobakia ambapo inadaiwa mpaka sasa kuwa hayajakamilishwa.
Papida ameweka ngumu kwamba kama malipo hayo kama hayatakamilishwa mpaka kufikia Ijumaa hii basi wasitarajie kumuona mchezaji huyo akirejea kunako Ligi kuu Bara.
Inaelezwa kwamba tangu Jumatatu mchezaji huyo hajaonekana katika viunga vya mazoezi ikidaiwa kwamba anahitaji kukamilishiwa deni lake ndipo aendelee na ratiba ya kusalia klabuni hapo.
deni la taifa kwa sasa ni takribani trilion90 na bado ni himilifuTiliambiwa hiki kikosi ni Bil 7 inakuwaje sasa jamaa anadai.