Mchezaji gani aliyestafu ungependa arudi uwanjani

Mchezaji gani aliyestafu ungependa arudi uwanjani

Unaikumbuka hio mechi ? Mimi naikumbuka ilijaa ufundi redondo unayemsema akichangia ufundi mwingi kwenye kiungo.
Ni kiungo bora ambaye hakuwika sana kwenye timu yake ya taifa

Mechi naikumbuka vema
 
Carlos Valderama
Rehe Higuita
Valdano
Burruchaga
Dida GK
Delpierro
Denilson
Emanuel Pettit
Francesco Totti
Salum kabunda "Ninja"
Deo Njohole O.C.D
Zamoyoni Mogela Golden Boy.
 
FB_IMG_16743363955336831.jpg
 
Back
Top Bottom