Mchezaji gani unamkubali kwenye kupiga penati?

Tz ni Nyoni.
Wengine wataweza kwa msaada wa paka mweusi.
 
Nyoni ameshsawahi kukosa mara mbili,moja akiwa Stars nyingine Simba. Ambaye sijawahi ona akikosa ni Aggrey Morris wa Azam.
 
Nyoni ameshsawahi kukosa mara mbili,moja akiwa Stars nyingine Simba. Ambaye sijawahi ona akikosa ni Aggrey Morris wa Azam.
Labda taifa stars mkuu, ila Nyoni kaenda Simba me nina akili timamu 2017 na sijawahi kuona wala kuskia kakosa penati, taifa stars sina uhakika maana ameanza kuichezea muda mrefu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…