Naona kama hili linataka kupita bila kujadiliwa humu na wadau wa soka, sijajua kama limejadiliwa na wachambuzi wetu katika redio zetu za FM.
Nasor Saadun alicheza mechi ya ushindani akiwa na Azam dhidi ya Yanga tarehe 2/11/2024, na game ilikuwa ngumu sana.
Tarehe 3/11/2024, Nasor Saadun akacheza tena Taifa Stars dhidi ya Sudan akitokea benchi lakini. Jamaa akawa anacheza rafu tu mwisho wa siku akapewa kadi nyekundu.
Maswali:
1. Je, kiafya inakubalika?
2. Lengo lilikuwa ni nini kumchezesha ikiwa ametoka kwenye mechi ya ushindani jana yake?
3. Kama inawezekana kwa Nasor, kwahiyo hakuna haja ya kusimamisha mechi za ligi kwa baadhi ya vilabu pendwa yanapotokea mashindano ya kimataifa ili kuwapa nafasi wachezaji kujiandaa vyema mana Nasor kaonesha inawezekana kucheza leo na kesho yake!
Nasor Saadun alicheza mechi ya ushindani akiwa na Azam dhidi ya Yanga tarehe 2/11/2024, na game ilikuwa ngumu sana.
Tarehe 3/11/2024, Nasor Saadun akacheza tena Taifa Stars dhidi ya Sudan akitokea benchi lakini. Jamaa akawa anacheza rafu tu mwisho wa siku akapewa kadi nyekundu.
Maswali:
1. Je, kiafya inakubalika?
2. Lengo lilikuwa ni nini kumchezesha ikiwa ametoka kwenye mechi ya ushindani jana yake?
3. Kama inawezekana kwa Nasor, kwahiyo hakuna haja ya kusimamisha mechi za ligi kwa baadhi ya vilabu pendwa yanapotokea mashindano ya kimataifa ili kuwapa nafasi wachezaji kujiandaa vyema mana Nasor kaonesha inawezekana kucheza leo na kesho yake!