Mchezaji kufanyiwa majaribio,Je,unajua huwa wanajaribiwa nini?,kwanini wachezaji wetu huwa wanafeli majaribio huko nje?

Mchezaji kufanyiwa majaribio,Je,unajua huwa wanajaribiwa nini?,kwanini wachezaji wetu huwa wanafeli majaribio huko nje?

mdukuzi

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2014
Posts
20,925
Reaction score
51,688
Tangu nianze kufuatilia mpira mwaka 1993,mwaka ambao Azim Dewji aliahidi Simba ikishinda kombe la CAF angewapa gari aina ya KIA kwa kila mchezaji,na Simba ikafika fainali na kupigwa chuma mbili pale Taifa na Stella Abidjan,ni wachezaji wengi sana wameenda nje kufanya majaribio lakini huwa wanarudi pakavu.

Kwa msimu huu pekee kuna Kibu Denis ambaye msimu wa pili huu hana goli hata moja ligi kuu.

Pia kunaNabii Elia Mpanzu ambaye anaonekana ni hatari sana
Kule Yanga huwani wagumu sana kumruhusu mtu kutafuta rizki nje wakampokea

Picha linaanza kupimwa afya
Hapa hupima magonjwa yote,ukimwi,pumu,sukari presha,moyo,wingi wa damu,meno,kucha,ulimi,nywele,ngozi,mifupa,maini,figo,kongosho,utumbo mpana na mwembamba,mapafu,bandama na mix by ass kuona kama unaingiliwa au la.,mfumo mzima wa damu na upumuaji,mishipa ya ngiri,busha,matende

Wakimaliza utapelekwa lunch au dinner,utakaribishwa buffet huku kwa mbali kuna mtu anaangalia umekula kiasi gani bila wewe kujua ukila slace mbili za mkate na mayai mawili na chai kikombe Kimoja ujue umeshfeli.Mrisho ngassa alishindwa kymaliza kuku nusu kesho yake akarudishwa

Ukitoka hapo utapelekwa uwanjani kupimwa utimamu wa mwili utaambiwa zungka uwanha round kadhaa kwa muda walioupanga,kuna marks zake,kuna kylenga shabaha,yatawekwa masanamu utaambiwauyalenge,kyna marks zake,kuna ball cintrol and dribbling,kuna narks zake,mwisho utaambiwa onyesha skill yako ambayo unadhani unayo na hawajakujaribu nayo,
Kibu Denis alipata asilimia 20
Nabii Eliia Mpanzu asilimia 30
Ngasa asilimia 10
 
Kama kuvalishwa kofia ngumu
IMG_0711.jpeg
 
Ngasa juzi kati alihojiwa akasema ni zengwe tu ile ishu yake kwenda nje akapewa kuku mmoja akashindwa,,,alielezea vyema akasema hajui uvumi ulitoka wapi na ulienea sana ! Khs vipimo ni kwel unapimwa kila kitu,,,,, mix by yas umechapia,,,, kama talent ipo na unapumuliwa haiwahusu,,,, mbn kuna wachezaji kadhaa wa mbele walishadeclare ni mashoga?

Majuzi hapa Frabrizio(Sport journalist) alirepot kulikuwa na uvumi kuwa Alex lacazette, Odegaard, declan rice wanahofiwa kuhusika na mapenz ya jinsia moja
 
Ngasa juzi kati alihojiwa akasema ni zengwe tu ile ishu yake kwenda nje akapewa kuku mmoja akashindwa,,,alielezea vyema akasema hajui uvumi ulitoka wapi na ulienea sana ! Khs vipimo ni kwel unapimwa kila kitu,,,,, mix by yas umechapia,,,, kama talent ipo na unapumuliwa haiwahusu,,,, mbn kuna wachezaji kadhaa wa mbele walishadeclare ni mashoga?

Majuzi hapa Frabrizio(Sport journalist) alirepot kulikuwa na uvumi kuwa Alex lacazette, Odegaard, declan rice wanahofiwa kuhusika na mapenz ya jinsia moja
Du hadi Lacazzete?
 
Ngasa juzi kati alihojiwa akasema ni zengwe tu ile ishu yake kwenda nje akapewa kuku mmoja akashindwa,,,alielezea vyema akasema hajui uvumi ulitoka wapi na ulienea sana ! Khs vipimo ni kwel unapimwa kila kitu,,,,, mix by yas umechapia,,,, kama talent ipo na unapumuliwa haiwahusu,,,, mbn kuna wachezaji kadhaa wa mbele walishadeclare ni mashoga?

Majuzi hapa Frabrizio(Sport journalist) alirepot kulikuwa na uvumi kuwa Alex lacazette, Odegaard, declan rice wanahofiwa kuhusika na mapenz ya jinsia moja
Ika kwa ulaji wetu huu,ni ngumu kumtetea
 
Haruna Moshi " Boban" fundi wa mpira ,kipaji asilia cha boli.Aliniuma sana huyu jamaa kukimbia Sweden kisa kaimiss mibangi ya Sinza.
Kapombe nae akakimbia ufaransa kisa amemis wali maharage,SIku niliyopishana nae mitaa ya posta akiongea na Kassim Dewji kuwa anataka kurudi nilishangaa sana
 
Hata kama waliongeza chumvi, ila jamaa kula wanakula haswaaaa.

Hasheem Thabeet alishathibitisha kwamba akiwa anacheza NBA Marekani alikuwa anakula milo 6 kwa siku, na mingi ya hiyo ni heavy meals haswaaa.
 
Back
Top Bottom