Mchezaji mpira wa klabu ya OGC Nice anusurika kifo kwa kutaka kujirusha kutoka kwenye daraja baada ya kuachwa na Mpenzi wake

Cannabis

JF-Expert Member
Joined
Jan 20, 2014
Posts
11,557
Reaction score
33,535



Klabu ya OGC nice iliingia katika taharuki na kusitisha shughuli zake zote baada ya kiungo mkabaji Alexis Beka Beka kutishia kujiua kwa kujitupa kutoka katika daraja refu kwa madai ya kuachwa na mpenzi wake. Polisi pamoja na jeshi la zimamoto lilifanikiwa kumuokoa kiungo huyo na hivi sasa amewekwa chini ya uangalizi akiwa pamoja na familia yake.
 
Mpenzi wake Jinsia gani?
 
Beka kawa kama Seleeee
 
Wanaofanya kweli huwa hawatangazi. Mtakuta ujumbe tu kwenye karatasi mhusika atakuwa tayari kabadilisha jina na kuwa marehemu xxx.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…