Mwenzake Athumani kapora demu wa mtu Club kaondoka nae kaenda kumkanda asubuhi jamaa wa Baba ubaya wametimba mtaani kwao wakiwa na mapanga na marungu na kutembeza kichapo mtu mmoja baada ya mwingine kisha Athumani aliposhtukia Mchezo kamuacha demu yeye kaingia mitini