GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Kuna Daktari mmoja wa Hospitali moja ( yenye Hadhi ) kasema kuna Timu Mchezaji wao mwenye Umri mdogo ni 43.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimecheka mpaka basi Mkuu kwani najua ni kwanini kwa Makusudi umeamua Kumtaja huyu Mchezaji. Haya bhana..!!Ni Mohamed Hussein huyo
Kwamujibu wa makolo nikwamba kapombe ana miaka 19 na Mohamed Hussein 20Kapombe ana umri gani?
Ndo maana maisha ni kama mlango,unaweza kupita kwenye dirisha na kula mkate, ila kitunguu hakiwezi kua kiti hata kama swala anaendesha redio.Kuna Daktari mmoja wa Hospitali moja ( yenye Hadhi ) kasema kuna Timu Mchezaji wao mwenye Umri mdogo ni 43.
Mshana JrNimecheka mpaka basi Mkuu kwani najua ni kwanini kwa Makusudi umeamua Kumtaja huyu Mchezaji. Haya bhana..!!
Nimecheka mpaka basi Mkuu.Aucho 35, Mwamnyeto 37, Diara 32, Chama 34.
Ikipungua sana 53.Kapombe ana umri gani?
Chini ya Mangungu?Tuna misimu mitatu tunachukua ubingwa , period.
Viva Simba
Duu kwa hiyo Kapombe,Shabalala,Mzamiru, Ngoma nk wana miaka 20........? Tutakutana uwanjani hata Banda na Sakho walikuwa na umri mdogo leo wako wapi?Kuna Daktari mmoja wa Hospitali moja ( yenye Hadhi ) kasema kuna Timu Mchezaji wao mwenye Umri mdogo ni 43.
wewe ni mama yake?Ikipungua sana 53.