Tate Mkuu
JF-Expert Member
- Jan 24, 2019
- 33,092
- 96,127
Hata mimi mwenyewe tu hapa nilipo nakwepa kodi! Sembuse hao Gsm! Makonda mwenyewe enzi hizo akiwa ni mtoto kipenzi, alijaribu kukwepa kodi kupitia yale makontena!Mngekuwa wazalendo msingekubali kudhaminiwa na mkwepa kodi au hujui gsm na home shopping center ni kitu kimoja
Rais mwenyewe tulisikia mshahara wake haukatwi kodi!! Hivyo, hiyo ishu ni ya kawaida sana. Wakina Messi, Ronaldo, nk wameshawahi kushtakiwa kwa kukwepa kodi!!