Hazard CFC
JF-Expert Member
- Apr 7, 2015
- 16,627
- 38,689
Ndio kama kichwa cha habari kinavyosomeka wala sijakosea,leo asubuhi fei toto alitangazwa kusajiliwa na singida utd lakini cha kushangaza majira ya mchana mchezaji huyo alitangazwa kusajiliwa na yanga..
Haya mambo yanatokea africs tu [emoji23] [emoji23] [emoji23] wanajangwani karibuni mtie neno hapa
Joseverest
Nifah
Hajar
Haya mambo yanatokea africs tu [emoji23] [emoji23] [emoji23] wanajangwani karibuni mtie neno hapa
Joseverest
Nifah
Hajar