Mchezaji wa Kaizer Chiefs: Siwajui vizuri Yanga, nawajua Simba sababu tuliwahi kuja hapa wakatuchapa tatu kwa nunge

😆😆
Acha tu akumbuke ule moto waliopelekewa ile siku siyo poa,walikuwa wanaomba mpira uishe..
Hapana
Wanakumbuka moto mliowasha kule s.A mpaka uwanja ukaungua
Sasa vigagula mtakosa kujulikana
 
Alipakatwa utopolo
"utopolo" ndiyo nani kati yao? Na kwanini wakaitwa hivyo?

Mimi nafahamu Simba zamani walikuwa Sunderland na Abidjan Ivory Coast. Yanga walikuwa Kuala Lumpur (kwala lumpa)na kanda mbili.

Haya majina mapya siyafaham. Nifahamisheni nisije nikakosea.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
UTO NI WAMATOPENI WANAJULIKANA HUKO KIDIMBWI TU
 
"utopolo" ndiyo nani kati yao? Na kwanini wakaitwa hivyo?

Mimi nafahamu Simba zamani walikuwa Sunderland na Abidjan Ivory Coast. Yanga walikuwa Kuala Lumpur (kwala lumpa)na kanda mbili.

Haya majina mapya siyafaham. Nifahamisheni nisije nikakosea.
 
"utopolo" ndiyo nani kati yao? Na kwanini wakaitwa hivyo?

Mimi nafahamu Simba zamani walikuwa Sunderland na Abidjan Ivory Coast. Yanga walikuwa Kuala Lumpur (kwala lumpa)na kanda mbili.

Haya majina mapya siyafaham. Nifahamisheni nisije nikakosea.
Jina la utopolo lilianzia hapa

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…