joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,117
- 46,617
Mchezaji nyota wa Gormahiya na Harambe Star, ameamua kukimbilia Tanzania na kujiunga na Simba ya Tanzania baada ya kutolipwa mshahara kwa miezi mitano.
Ikumbukwe pia kwamba Kahata ambaye alitokea Gormahiya na kujiunga na Simba mwaka Jana, alitoa sababu ya kutolipwa mshahara kwa muda mrefu ndiyo iliyomsukuma kuja Tanzania.
Sass hivi Tanzania ndio kimbilio la wakenya wengi wakati hali ya maisha ikiendelea kuwa ngumu nchini Kenya.
Hii inaonyesha wazi kwamba uchumi wa Kenya ni uchumi wa makaratasi wakati Tanzania ndio nchi yenye uchumi wenye kuakisi ukweli.
Karibuni sana majirani katika nchi ya Maziwa na Asali.