Mbolabilika
JF-Expert Member
- Jul 30, 2019
- 2,128
- 2,867
Wakenya wanapenda kujifanya wao wako juu ndio maana unaona mpaka wanafikia kuchukua maamuzi ya upande mmoja mfano kwenye kufungua anga Sasa ndo tunawaonesha kuwa TZ inauwezo mkubwa sio kama wanavyoichukulia waoNi habari ya michezo lakini
naja ww jiandae kunipokeaSasa wewe inabidi ukifika uje ufikie kwangu,[emoji5][emoji5][emoji5]
Sent from my SM-G928F using JamiiForums mobile app
Asante ๐Karibu sana katika nchi ya maziwa na asali, karibu katika nchi yenye umoja, amani na upendo.
Taja wanamichezo walioajiriwa Kenya toka Tanzania nikutajie wanamichezo waliopo Tanzania toka KenyaKwa hivyo TZ ni tajiri kushinda Kenya?
Z๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐Tanzania uchumi wake upo mikononi mwa wa Tanzania na unawafikia watu wengi zaidi ya Kenya, Tanzania ina matajiri wengi ambao wamesambaa nchi nzima hadi vijijini, Kenya matajiri ni wachache na wengi huamisha pesa zao na kuziweka nchi za Ulaya na Marekani. Kenya uchumi wake upo mikononi mwa watu wachache sana hauwasaidii wananchi wa chini.
Tumewaacha Kwa mbali kabisa
Mchuuzi c mvuvi?Z[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
I never knew how much awkward I was to take this free battled standard tap water for granted, dah Aiseee yaani kuoga kunalipiwa really like seriously?
Anzisha uzi mkuu, kuna vitu Tanzania tunqvichukulia poa sanaa, Sijawahi kuwaza kama hiki kitu kinawezekana,
Halafu kiswahili nacho tatizo, eti mmiliki wa mradi wa bafu wanamuita 'mchuuzi' [emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706]
Wanaleta malumbano ya kipuuzi hadi tunaonekana waTZ wote ni wajinga-wajingaMimi ni Mtanzania, hata hivyo nimekuwa sipendezwi na threads za malumbano au ulinganishaji kati ya Tanzania na Kenya. Huu uzi ulipaswa kuwa ni wa kimichezo zaidi kuliko kisiasa. Michezo ni furaha, michezo huunganisha watu. Sisi sote ni ndugu, tunabaguana halafu eti tunapinga ubaguzi unaofanywa na watu wengine!
Ikusaidie nn ?? Sikia wakenya Ni ndugu zetu. Na sio kwa mipaka ya ukoloni. Napingana na wore wanaoshadadia utofauti was hizi nchi mbili. Badala ya kupendana tunabaguana!! Huu Ni ujinga Wakenya acheni nyodo za kipumbavu kuwaona watanzania washamba Sana. Ninyi watanzania acheni UPOPOMA kujiona mna maisha Bora kuliko Wakenya. TUNATEGEMEANA huo ndo ukweli.Hatulumbani, tunawaambia wakenya ukweli kuwa nchi yao na watu wao ni maskini sana wasijilinganishe na Tanzania
Mchuuzi ni mtu anayenunua bidhaa kwa jumla then kwenda kuuza rejareja but mostly with very low capital and investmentMchuuzi c mvuvi?