Mchezaji wa Nkana afariki kwa ajali ya gari

Mchezaji wa Nkana afariki kwa ajali ya gari

nzagambadume

JF-Expert Member
Joined
Apr 9, 2018
Posts
2,430
Reaction score
5,779
Ni kiungo wa nkana crispin mulenga kafariki jana kwa ajali kacheza juzi meci ya charity shield dhidi ya indeni team iliopanda daraja ambayo anachezea mcheaji wa zamani wa utoplo fc Juma abdul,kwenye picha huyu hapa yuko mbele ya ramadhani singano messi
nkana.JPG
 
Pamoja kwamba ni taarifa ya msiba ukaona sio haba kuonesha Umbumbumbu wako japo kwa ufupi..
 
Hili jina utopolo kama madihara limeshika
 
Ni kiungo wa nkana crispin mulenga kafariki jana kwa ajali kacheza juzi meci ya charity shield dhidi ya indeni team iliopanda daraja ambayo anachezea mcheaji wa zamani wa utoplo fc Juma abdul,kwenye picha huyu hapa yuko mbele ya ramadhani singano messi
Ujazikaa polenihatawewe unaenda
 
Ni kiungo wa nkana crispin mulenga kafariki jana kwa ajali kacheza juzi meci ya charity shield dhidi ya indeni team iliopanda daraja ambayo anachezea mcheaji wa zamani wa utoplo fc Juma abdul,kwenye picha huyu hapa yuko mbele ya ramadhani singano messiView attachment 1612499
Huyo ktk picha nyuma ya marehemu ni Ramadhani Singano
 
Back
Top Bottom