Sasa utashangaa mshahara wake.Kama koulibaly anavyojidhalilisha pale msimbazi. Beki mbovu Dunia nzima.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata akienda, hakawii kuwazingua ili arudi Simba wanaomvumilia utovu wa nidhamu.Kaizer Chief watanunua galasa,huyo ni wa hapa hapa ale pensheni ukizingatia kikokotoo kimeongezeka
Sent using Jamii Forums mobile app
Hutaamini utakavyokuwa unamsikia Okwi akitesa PSL na Kaizer Chief hapo mwakaniKaizer Chief watanunua galasa,huyo ni wa hapa hapa ale pensheni ukizingatia kikokotoo kimeongezeka
Sent using Jamii Forums mobile app
Anavumiliwa kutokana na uwezo wake mkubwaHata akienda, hakawii kuwazingua ili arudi Simba wanaomvumilia utovu wa nidhamu.
Hao wengine hawaoni huo uwezo?
Kabisa kiongozi hata kwa mchango kufanikisha hili nipo tayari tumpate yule fundiUmenena, niko tayari kuchangia kumleta Bwaya
Kabisa kiongozi hata kwa mchango kufanikisha hili nipo tayari tumpate yule fundi
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwan,akisajiliwa anaruhusiwa kucheche clab bingwa Africa or mpaka mwakan?Kabisa kiongozi hata kwa mchango kufanikisha hili nipo tayari tumpate yule fundi
Sent using Jamii Forums mobile app
Okwi ana 29Okwi kazaliwa 25Dec 1992 hivyo ana miaka 26 tu kwahyo umri unaruhusu kwenda huko na kucheza hata misimu mitatu na kurudi Simba Sc akiwa na miaka 29 kumalizia soka lake hapa
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimekuwa kama Haji Manara labda.Sibonike unatumia muda mwingi sana kuijadili simba kuliko timi yako ya yanga.
HahaaChai zimeongezwa, eti kacheza mechi 302 na amefunga magoli 597!
Wamejumlisha na cha ndimu?
Thubutu,kaishacheza timu kibao kachemsha kaja kula pensheni mikiaHutaamini utakavyokuwa unamsikia Okwi akitesa PSL na Kaizer Chief hapo mwakani
Sent using Jamii Forums mobile app