nzagambadume
JF-Expert Member
- Apr 9, 2018
- 2,430
- 5,779
confirmed anaondoka, kule atakula dola 15,000 per month simba wanapewa dola 100,000 ujinga ni kwamba nkana wanataka dola 400,000 kwa bwalya naona wazee wa teni pasenti washaanza vitimbi vyao.ukichukua dollar 100,000 ukaenda zimbabwe unashuka na wachezaji 4 wakali grade A