Kapeace
JF-Expert Member
- May 26, 2017
- 24,514
- 65,521
Unafikiri nakupinga Basi, ishi vyema mengine muachie Mungu wako,,Dhuruma huwa haina manufaa ya kudumu, ya muda tu. Mara nyingi wanawake wa hivyo huishia kudhurumiwa na hata kuawa na wale wanaowaamini. Ndiyo maana kuna ongezeko la habari za wamama matajiri wajane kuuliwa na boyfriend wao kisa mali.