JanguKamaJangu
JF-Expert Member
- Feb 7, 2022
- 2,780
- 6,607
Mbumbumbu fc
Jobe wa Simba😁😁
Wale walio shindwa kuifunga Mamelody
Umeniwahi kumtaja Freddy.Freddy "funga funga" wa Ahmed Ally.
Nilikuja hapa ku type Mzize bas umemaliza [emoji28]Mzinze,mzize,mnzize huyu kijana sijui anafanya nini Yanga
Nilikuwa namuwaza mwambaNunez
Opportunity seekerYule Rastafari wetu msimu mzima aliishia kufunga goli moja pekee! Na bado aliwaingiza mkenge viongozi kwa kumpa mkataba mpya na mnono!! 😁