Kama Kibu ana miaka 21 Mzize kwanini asiwe na 19Bado Mzize!
Uzee wote ule anasema juzi katimiza miaka 20[emoji1]
30yrsHivi onyango alisema ana miaka mingapi vile[emoji1787]
26Hivi onyango alisema ana miaka mingapi vile[emoji1787]
Msela kazaliwa 1978 huyu.Mwamba katisha Sana[emoji3]View attachment 2865965
Deep, amini mtu wangu huyo mshikaji ni kijeba.Acha zako mkuu[emoji23]
Vituko haviishiUongo mkubwa ni ule wa bocco kuwa na miaka 29 means bocco ni mdogo wake na chama .
Onyango mwenye miaka 26 means gadiel Michael ni kaka wa onyango