Mchezaji wa timu ya taifa ya Algeria afariki dunia

Sol de Mayo

JF-Expert Member
Joined
Sep 10, 2016
Posts
6,515
Reaction score
6,230

HABARI ZA KUSIKITISHA.

Kiungo mshambuliaji wa USM Alger na timu ya taifa ya Algeria ๐Ÿ‡ฉ๐Ÿ‡ฟ B Billel Benhamouda (24) amefariki dunia kufuatia ajali ya gari.

Benhamouda alicheza na kufunga katika mechi ya kirafiki ya kimataifa dhidi ya DR Congo ๐Ÿ‡จ๐Ÿ‡ฉ


ุฅู†ุง ู„ู„ู‡ ูˆุฅู†ุง ุฅู„ูŠู‡ ุฑุงุฌุนูˆู†

Allah amjaalie qauli thabit B Billel.
 
Kwahyo ataenda kukutana na bikra 72 peponi na mto uliojaa pombe?
Apana atakutana na padri au mchungaji afungishwe ndoa na mgalatia mmoja zile za jinsia moya au mmeacha sa ivi kufungishwa ndoa na hao wakubwa wenu wa church?
 
Apana atakutana na padri au mchungaji afungishwe ndoa na mgalatia mmoja zile za jinsia moya au mmeacha sa ivi kufungishwa ndoa na hao wakubwa wenu wa church?
Kwa sisi waislamu hili liko wazi kabisa au utakuwa sio mvaa makobazi wewe nini?

Atakutana na mbususu 72 bikra zenye macho kama vikombe
 
Apana atakutana na padri au mchungaji afungishwe ndoa na mgalatia mmoja zile za jinsia moya au mmeacha sa ivi kufungishwa ndoa na hao wakubwa wenu wa church?

Huyu jamaa ni mdini sana
 
Comment ya pili baada ya Uzi kupostiwa ina maana kubwa sn.Ina nguvu ya kubadilisha mwelekeo na akili za wachangiaji na kujikuta wanajadili Hoja nyingine
Mshana Jr naukumbuka Uzi wako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ