Consultant
JF-Expert Member
- Jun 15, 2008
- 11,503
- 20,892
Hii C19 itawatesa sana Wakenya kwa sababu zisizo na msingi sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shirikisho la mpira kenya wameficha habari hiyo.Mkiwa mnapata Habari zenu za 'Vichochoroni Media' msiwe 'mnakurupuka' nazo humu 'Mitandaoni' kabla ya 'Kuzihakiki' kwani zitawafanyeni nanyi pia muanze kuonekana ni wa 'hovyo hovyo' tu..
Corona bongo ipo ipo tu ila tunaenda nayo, wala hata haizuii kazi. Nitamshangaa mtu atakayeshangaa kwamba abiria aliyetoka Tanzania ana coronaVyombo vya habari vya nchini Kenya vinadai KFF inaficha kuwa joash Onyango anaumwa Covid19
Lakini CEO wa simba bi Barbara Ganzelez kupitia ukurasa wa twitter amekanusha na kudai joash Onyango anainjar kwenye goti
Acha kunipotezea muda tafadhali sawa? Joash Onyango mwenyewe 'Kakanusha' kama ukitaka 'Kujiridhisha' nenda katika 'Twita' yake uone kajibu.Shirikisho la mpira kenya wameficha habari hiyo.
Pia wamekaa kimya kabisa...
Corona inaua kwenye nchi zilizoingiza taharuki za kijinga kwa jamii, kwan tofauti ya corona na UKIMWI, SARATANI AU KISUKARI NI IPI HASA MAANA YOTE YANA UA BINADAMU MAMIA KWA SIKU KILA NCHICorona bongo ipo ipo tu ila tunaenda nayo, wala hata haizuii kazi. Nitamshangaa mtu atakayeshangaa kwamba abiria aliyetoka Tanzania ana corona
Nashangaa eti Onyango kuwa na corona nao ni mjadala. Mi mwenyewe hapa nina corona, ila napiga kazi hadi saa tisa, nalala masaa mawili, asubuhi naingia job kama kawaida.Corona inaua kwenye nchi zilizoingiza taharuki za kijinga kwa jamii, kwan tofauti ya corona na UKIMWI, SARATANI AU KISUKARI NI IPI HASA MAANA YOTE YANA UA BINADAMU MAMIA KWA SIKU KILA NCHI
Muda wote ni kupotosha umma ili kuichafua Tanzania,fala sana we bwege.Joash Onyango mchezaji wa timu ya taifa ya Kenya leo muda mfupi kabla ya mechi ya kimataifa aneondolewa kikosi cha timu yake ya taifa baada ya kugundulika kuwa na COVID 19 baada ya vipimo akiwa ametokea Tanzania ambapo anaichezea timu ya soka ya Simba.
Sometimes huwa una akili kiduchu...Acha kunipotezea muda tafadhali sawa? Joash Onyango mwenyewe 'Kakanusha' kama ukitaka 'Kujiridhisha' nenda katika 'Twita' yake uone kajibu.
Joash Onyango mchezaji wa timu ya taifa ya Kenya leo muda mfupi kabla ya mechi ya kimataifa aneondolewa kikosi cha timu yake ya taifa baada ya kugundulika kuwa na COVID 19 baada ya vipimo akiwa ametokea Tanzania ambapo anaichezea timu ya soka ya Simba.
Mbona we hujapata?inasemekana kapata corona Tanzania
Achana nap hao, wenzao waliojaribu kuichafua Tanzania wameshindwa, sasa wanakimbia nchi.Muda wote ni kupotosha umma ili kuichafua Tanzania,fala sana we bwege.
Kama n hvo hata Taifa Stars wanaweza wasicheze na Tunisia maana wote wanaweza kukutwa na Covid19.simba inaweza kwenda mechi za kimataifa, wakipimwa wakakutwa na corona, ikaondolewa kwenye mashindano.
Kama n hvo hata Taifa Stars wanaweza wasicheze na Tunisia maana wote wanaweza kukutwa na Covid19.simba inaweza kwenda mechi za kimataifa, wakipimwa wakakutwa na corona, ikaondolewa kwenye mashindano.
unabishi kama vile wewe daktari wa timu,alafu unasahau korona huwashambulia sana wazee kuna uwezekano mkubwa jamaa kuwa nayo.Mkiwa mnapata Habari zenu za 'Vichochoroni Media' msiwe 'mnakurupuka' nazo humu 'Mitandaoni' kabla ya 'Kuzihakiki' kwani zitawafanyeni nanyi pia muanze kuonekana ni wa 'hovyo hovyo' tu. Mchezaji wa Simba SC na Timu ya Taifa ya Kenya ( Harambee Stars ) Joash Onyango hana CORONA ( COVID-19 ) kama 'ilivyozushiwa' bali aliumia Mguu akiwa Mazoezini na Kathibitisha mwenyewe kwa CEO wa Simba SC Barbara Gonzalez.
Roho yako hapo kwatuJoash Onyango mchezaji wa timu ya taifa ya Kenya leo muda mfupi kabla ya mechi ya kimataifa aneondolewa kikosi cha timu yake ya taifa baada ya kugundulika kuwa na COVID 19 baada ya vipimo akiwa ametokea Tanzania ambapo anaichezea timu ya soka ya Simba.
Hata ni makufuru na madharauTumeishinda Covid19 kwa nguvu na uwezo wa awamu ya 5