Mchezaji wa Valencia, Mouctar Diakhaby agoma kusimama nyuma ya bango la kupinga ubaguzi la liga

Mchezaji wa Valencia, Mouctar Diakhaby agoma kusimama nyuma ya bango la kupinga ubaguzi la liga

Ujakutana na racism wewe usiongee ivyo ulishawai kutemewa mate,kutupiwa ndizi? Ulishawai kupanda basi baada ya kuingia wewe kila mtu anaziba pumzi kuwa unanuka? Ulishawai kufuatwa na kundi la watu wakitaka kujua iyo ngozi ni yako au umepaka oil? Tena wanakugusa kabisa..
Hii ipo sana kwa mtume Putin na akina Xi Jing Ping kwani wenyewe ndio hao wanaoamini waafrika ni nyani tu.
 
Mara nyingi sisi wenyewe Ndio tunajibagua bila kujua kwa mfano kuna msemo maarufu sana ambao huwa tunautumia unasema "Black is Beauty" huu msemo ni wa kujishuku sisi wenyewe kwa kuwa tunajiona kuwa weusi ni rangi mbaya ndiyo maana tunatafuta kila namna kujionyesha kuwa wazuri ila sijawahi hata siku moja kusikia wazungu wakisema "White is beauty" ...mambo mengine ni ya kipuuzi ila tunayakuza kwa kutaka kuhurumiwa tu...
 
Back
Top Bottom