Mchezaji wa Valencia, Mouctar Diakhaby agoma kusimama nyuma ya bango la kupinga ubaguzi la liga

Hii ipo sana kwa mtume Putin na akina Xi Jing Ping kwani wenyewe ndio hao wanaoamini waafrika ni nyani tu.
 
Mara nyingi sisi wenyewe Ndio tunajibagua bila kujua kwa mfano kuna msemo maarufu sana ambao huwa tunautumia unasema "Black is Beauty" huu msemo ni wa kujishuku sisi wenyewe kwa kuwa tunajiona kuwa weusi ni rangi mbaya ndiyo maana tunatafuta kila namna kujionyesha kuwa wazuri ila sijawahi hata siku moja kusikia wazungu wakisema "White is beauty" ...mambo mengine ni ya kipuuzi ila tunayakuza kwa kutaka kuhurumiwa tu...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…