Kuna jamaa hapa ananiambia ile staili ya Yanga inaitwa "European Four". Labda wakienda mikoani tena watakuwa wanalala Kongo ili kuepuka "European Four" na kuogea kopo la kunywea mbege.Ingekuwa bora kama angejenga hiyo hoteli Mwananyamala au angekarabati jengo la klabu jangwani ili kuepusha wachezaji kulala mzungu foo.
Mchezaji wa Yanga ya Dsm anajenga Kinshasa? Ova My Dedi Bode....
Mkuu umemuonea bure kwani Malimbukeni wanajua kujieleza. Kwa hilo naomba niwasaidie watani zangu.Umeandaa habari nzuri ila umeshindwa kujieleza Nonda si mchezaji wa Yanga ila aliwahi kuichezea Yanga acha upenzi wa kijinga huna jipya
Kwao Yanga hiyo ni 5 star hotel, kama waliweza kuishi kwenye lile bonge la hoteli kule Mbeya watashindwa hicho kibiriti ambacho watanzania kibao wanaviangusha kila kukicha.Kwa hadhi yake na timu alizochezea sikutarajia angezindua hotel hii ya kawaida kabisa ambayo wkinga wengi wanajenga hapo Dar..
Huyu ambaye Yanga wamembemenda juzi kati.Ahh mi nilijua ni Yondani bana..
Hayo pekee ndiyo mafanikio ambayo watani zetu mnapaswa kujivunia lakini soka hakuna kajipangeni upya, lakini hapo si alifanya kupita tu hata uraia ni wa Kongo vipi kama angekuwa mbongo aliyelelewa na kuuzwa na Yanga kama ambavyo Simba wamefanya kwa akina Samata Magoli, Ulimwengu Tom na wengine wengi wanaoitikisa Dunia mngefanyaje?
Another version of ulimbukeni's revealed..
Baada ya kuwatenda vibaya kwa Five O'clock na kuwastaafishia Fuso lenu kwa aibu, kila siku Okwi yupo vichwani mwenu, kwa taarifa yenu hatumuuzi kwa vihela uchwara kama nyinyi mpo tayari kutoa wachezaji wenu hata bure tena hata kwa kuwatoroka kwenda South Afrika halafu mnajisifu mmechina.
Kama angekuwa wa kwenu angekarabati hata lile bwawa la Kambare pale kaunda. El-nino inakuja tutaokota mpaka Sangara pale.
Nafikiri jibu zuri umeshapewa, wewe ndiyo hujatuambia ukarabati wa lile bwawa la kambare na sangara pale kaunda unaanza lini, el-nino inakujahuyu okwi hivi mmeloga apa bongo make hata uganda anasugua benchi, ebu nipe jibu basi ilikuaje amekosa soko huyu mchezajo bora kadolora kabaki kutia huruma tu, ameshindwa kupata timu india ebu jibu wacha jazba
Nonda shabani "Papii" si jina geni kwa wapenzi wa soka wa bongo,huyu ni mchezaji wa zamani wa yanga ya dar es salaam ambae ameonyesha mfano wa kuigwa kwa wachezaji wetu wa bongo kutokana na mafanikio yake ya kisoka na maisha kiujumla.Nonda amezindua hotel yake ya kitalii hivi karibuni hapa kinshasa aliyoipa jina "VILLA FATUMA" uzinduzi uliohudhuriwa na watu wengi maarufu congo akiwemo mwanamuziki wa zamani wa bendi ya wenge musica ADOLPHE DOMINGUEZ.Gonga hapo chini utizame video ya uzinduzi wa hoteli hiyo ya kisasa na nzuri kuliko club za simba na yanga!
Nafikiri jibu zuri umeshapewa, wewe ndiyo hujatuambia ukarabati wa lile bwawa la kambare na sangara pale kaunda unaanza lini, el-nino inakuja
Mimi nilidhani Bahanuzi au Twite au Yondan, kumbe Nonda, kweli kaonyesha njia inabidi Kavumbagu naye atoroke kwenda South maana Nonda naye alitoka Atletico ya Burundi akaja Yanga ila akatoroka kwenda South ndo alikoanza kufanikiwa lakini sio pale kwenye majaruba.
Halafu ikamtupa wapi? ingekuwa raha zaidi kama mafanikio hayo yengepatikana kwa m-bongo. Akiwa wa kigeni inakuwa haina mashiko sana, si unaona hata hotel yenyewe kajenga Kinshasa. Kwa nini asijengejenga Mwananyamala 'alikookwota'?
Tatizo ni dogo. Hawa Simba huwa wanapenda sana sifa hata wasizostahili...so walipenda hii stori ya Nonda iwahusu wao.
Na ingekua wao ndio walimtoa tusingekunywa maji,tizama dogo mbwana samatta ambae anacheza hapo congo tu wala ulaya hajafika wanavyopiga mayowe utafikiri walimtengeneza wao kumbe wao walimsajili akiwa tayari star tofauti na nonda na yanga
Mchezaji wa Yanga? Hivi kumbe anaichezea Yanga? Mi najua alipitia Yanga kabla hajaenda alipostahili. Mchezaji wa Yanga akifanikiwa sana labda anunue Starlet na kakibanda ka rooms tatu, choo passport size.
Chezeya soka la bongo?
Hayo pekee ndiyo mafanikio ambayo watani zetu mnapaswa kujivunia lakini soka hakuna kajipangeni upya, lakini hapo si alifanya kupita tu hata uraia ni wa Kongo vipi kama angekuwa mbongo aliyelelewa na kuuzwa na Yanga kama ambavyo Simba wamefanya kwa akina Samata Magoli, Ulimwengu Tom na wengine wengi wanaoitikisa Dunia mngefanyaje?
Another version of ulimbukeni's revealed..
Mi ndo maana nasemaga siku zote,mashabiki wa Simba hata mpira wenyewe hawaujui,huyu naye amekariri kila Mtanzania anayecheza TP Mazembe katoka Simba,poor grafani11 .....embu pata msaada kwa Mwana Msimbazi mwenzio Masuke kuhusiana na wachezaji mliowauzia Mazembe,achana na huyo Bwana Mdogo Ulimwengu aliyekuwa atue Yanga akazuiwa na safari yake ya kwenda kufanya majaribio Ulaya kabla ya kurudi na kuangukia TP Mazembe
Habari ndio hii mzee we sijui umesoma habari ipi au ni wale wanaopenda kucomment kabla ya kusoma...nilichoandika ni hiki:Umeandaa habari nzuri ila umeshindwa kujieleza Nonda si mchezaji wa Yanga ila aliwahi kuichezea Yanga acha upenzi wa kijinga huna jipya
ameinvest sana sehemmu nyingine duniani kutokana na political instability ya nchi yake hiyo,hako ni ka mradi kadogo tu alikojaribu congo ili kuona itakuajeKwa hadhi yake na timu alizochezea sikutarajia angezindua hotel hii ya kawaida kabisa ambayo wkinga wengi wanajenga hapo Dar..