mchezaji wa yanga ajenga hotel ya kitalii

Usivamie hoja bila ya kuielewa wewe, hicho chuo kikuu alichoongelea mwenzako mwenye akili kama zako cha ndani ya nyumba ni cha aina gani kama sio cha kufundishana kulala mzungu wa nne na kutengeneza makopo ya kuogea? Kajipange huna jipya....
Hivi mpo watu mpaka umri bado mnafundishana kulala mzungu wa nne!!!! hili sikulijua kabisa aisee,haya kila la kheri katika mafunzo ya hiyo sanaa yenu ya kulala mzungu wa nne
 
Mkuu mimi nashindwa kuelewa unachokataa ni nini na unachokubali ni nini, hakuna sehemu nimesema mlimtoa Atletico kwa hela nilichosema ni kwamba alitoka Atletico kama ni kwa hela sijui kama mlimtorosha sijui, lakini chanzo chenu mnachocite kwamba alicheza Yanga kinaonyesha pia alicheza Atletico kabla ya kuja Yanga. Bado nasisitiza hakuna fix kwenye maelezo yangu.
 
Waliobarikiwa ni nyinyi mnaogeuzwa kama samaki kikaangoni na gabachori, akiamua mlale mzungu wa nne hewala, akiamua alete wacheza shoo wa Kongo(Twite) hewala, akiamua timu isiwe na kocha afundishe mwenyewe hewalaa, akiamua leo ni siku ya kumeza miwa mitatu bila kutafuna hewala, akiamua leo timu nzima ikalie dushelele la senene hewalaa. Wewe kweli umebarikiwa na aliyekubariki ni Shetani.

Simba inaongozwa na Mwafrika thabiti mwenye kujua nini anafanya na ndiyo maana mpaka sasa inahesabu pointi, mpaka sikushangaaa mlipotoa sare na Simba SC mlisheherekea, choka mbaya nyie...
 
Hivi mpo watu mpaka umri bado mnafundishana kulala mzungu wa nne!!!! hili sikulijua kabisa aisee,haya kila la kheri katika mafunzo ya hiyo sanaa yenu ya kulala mzungu wa nne
Waliulize Yanga wenzio wanakijua chuo cha kufundishana kulala mzungu wa nne kipo wapi, mvamia hoja usiyefikiri kabla yakujibu na ndiyo maana umeingia mkenge mwenyewe.

Makao makuu yapo Jangwani tawi lake moja lipo Mbeyana jana mmefungua lingine Kagera.
 

tanga ngapi ngapi u mpaka mcheze dar tu?na hivi nani aliwapangia ratiba y kucheza mechi sita mfululizo nyumbani?huoni kama upendeleo wa ina hiyo ndio huwa unawacost mkipelekwa kwenye mashindano ya kimataifa kama kagame cup ambapo hakuna mjomba wa kuwabeba wala mbeleko y kuwabebea kama hii mbeleko ya chuma ya tff kulazimisha muwe mabingwa mwaka
 
Kwa nini asiitwe mchezaji wa Atletico ya Burundi? Yanga bana, mimi nilidhani Bahanuzi
 
Matokeo ya Tanga, Simba SC imefungwa maana Taifa kubwa kama hili kutoa sare kwake ni kufungwa. Wenzetu mkitoa sare mnasheherekea maana tano bila na tatu bila sio mchezo.

Hata hivyo nakupongeza kwa kujua Simba SC hawakustahili kutoa sare na timu mbovu kama Coastal Union, kilichosababisha hilo ni Simba B, kwetu sisi Maproo ni Simba B, wenzetu nyinyi maproo ni kapu la magoli la manungu.
 
\

Yanga na Simba zingekuwa NZURI sana; Kama WAZEE wa TIMU Hizo na VIONGOZI wasingekuwa wanachota pesa Kuweka kibindoni Mwao; Hakuna Strict Accountability Angalia Wazee wana NGUVU zaidi ya kocha wa TIMU, Zaidi ya VIONGOZI wa kuchaguliwa...
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…