Mchezaji wa Yanga aliyevaa jezi namba 12 kwenye mechi ya leo ningekuwa na hela ningemzawadia kitita

Mchezaji wa Yanga aliyevaa jezi namba 12 kwenye mechi ya leo ningekuwa na hela ningemzawadia kitita

Salary Slip

Platinum Member
Joined
Apr 3, 2012
Posts
49,390
Reaction score
152,301
Kwa hakika huyu mchezaji (sijapata jina lake) amefanya kazi ya ziada katika upatikanaji wa goli la pili.

Amekimbia kwa speed kali na mpaka anatoa pasi, ni wazi alikuwa ametumia maximum energy aliyokuwa amebaki nayo kwa wakati ule na kidogo aanguke baada ya kutoa pasi ila akamudu vyema.

Pia, goli hili limeonyesha wachezaji wa Yanga hawana ubinafsi kwani Kama kila mtu angetaka kufunga, basi huenda Yanga wasingepata bao la pili kwani waligongeana japo wote walikuwa wako katika nafasi ya kufunga ila walihakikisha mwenye nafasi nzuri zaidi ndio afunge.

Wanaosema Mayele mbinafs, leo kawaumbua kwani alitoa pasi japo alikuwa tayari amelikaribia goli ila aliyepewa pasi alirudisha tena mpira kwa Mayele aliekuwa kwenye nafasi nzuri zaidi ya kufunga na Mayele hakufanya makosa.

Hongereni sana Yanga.
 
Kwa hakika huyu mchezaji (sijapata jina lake) amefanya kazi ya ziada katika upatikanaji wa goli la pili.

Amekimbia kwa speed kali na mpaka anatoa pasi, ni wazi alikuwa ametumia maximum energy aliyokuwa amebaki nayo kwa wakati ule na kidogo aanguke baada ya kutoa pasi ila akamudu vyema.

Pia, goli hili limeonyesha wachezaji wa Yanga hawana ubinafsi kwani Kama kila mtu angetaka kufunga, basi huenda Yanga wasingepata bao la pili kwani waligongeana japo wote walikuwa wako katika nafasi ya kufunga ila walihakikisha mwenye nafasi nzuri zaidi ndio afunge.

Wanaosema Mayele mbinafs, leo kawaumbua kwani alitoa pasi japo alikuwa tayari amelikaribia goli ila aliyepewa pasi alirudisha tena mpira kwa Mayele aliekuwa kwenye nafasi nzuri zaidi ya kufunga na Mayele hakufanya makosa.

Hongereni sana Yanga.
N moloko
 
Kwa hakika huyu mchezaji (sijapata jina lake) amefanya kazi ya ziada katika upatikanaji wa goli la pili.

Amekimbia kwa speed kali na mpaka anatoa pasi, ni wazi alikuwa ametumia maximum energy aliyokuwa amebaki nayo kwa wakati ule na kidogo aanguke baada ya kutoa pasi ila akamudu vyema.

Pia, goli hili limeonyesha wachezaji wa Yanga hawana ubinafsi kwani Kama kila mtu angetaka kufunga, basi huenda Yanga wasingepata bao la pili kwani waligongeana japo wote walikuwa wako katika nafasi ya kufunga ila walihakikisha mwenye nafasi nzuri zaidi ndio afunge.

Wanaosema Mayele mbinafs, leo kawaumbua kwani alitoa pasi japo alikuwa tayari amelikaribia goli ila aliyepewa pasi alirudisha tena mpira kwa Mayele aliekuwa kwenye nafasi nzuri zaidi ya kufunga na Mayele hakufanya makosa.

Hongereni sana Yanga.
Salary slip unashabikia timu ya CCM?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ducapel Jesus Moloko.

Ila jiandaeni kucheza na Pyramid.

Izi zalan, livers hakuna kitu
 
Back
Top Bottom