beth
JF-Expert Member
- Aug 19, 2012
- 3,880
- 6,368
Mshambuliaji huyo wa Kimataifa wa Denmark mwenye miaka 30 amehukumiwa kifungo cha siku 50 baada ya kupatikana na hatia ya kumdhalilisha mwendesha 'taxi' katika Mahakama ya mji wa Copenhagen
Hata hivyo kwa mujibu wa Wakili wake, Bendtner anayechezea klabu ya nchini Norway ya Rosenborg hajaenda jela akisubiri uamuzi wa rufaa aliyokata
Kwa mujibu wa ushahidi wa video, Bendtner anaonekana akimpiga usoni dereva huyo baada ya kubishana ni njia gani dereva huyo alitakiwa kuelekea
Bendtner alikubali makosa hayo ya kumpiga dereva lakini alisema ni baada ya kuhisi kutishiwa kutokana na derwva huyo kumrushia chupa walipoondoka bila kulipa
Hata hivyo kwa mujibu wa Wakili wake, Bendtner anayechezea klabu ya nchini Norway ya Rosenborg hajaenda jela akisubiri uamuzi wa rufaa aliyokata
Kwa mujibu wa ushahidi wa video, Bendtner anaonekana akimpiga usoni dereva huyo baada ya kubishana ni njia gani dereva huyo alitakiwa kuelekea
Bendtner alikubali makosa hayo ya kumpiga dereva lakini alisema ni baada ya kuhisi kutishiwa kutokana na derwva huyo kumrushia chupa walipoondoka bila kulipa