Roving Journalist
JF Roving Journalist
- Apr 18, 2017
- 3,984
- 13,760
Kafara likitoka hapo linakuja kwakoMakafara ya timu ya muhindi yameanza
Huyo azim dewji alifuata nini kwenye hiyo pichaMchezaji wa zamani wa Simba na timu ya taifa Iddy Suleiman kibode (Meya), amefariki usiku wa kumkia leo jtatu, katika Hospitali ya Muhimbili.
Awali Iddy alilazwa katika hospitali ya Mwananyamala na juzi usiku alihamishiwa Muhimbili. Idd ni mdogo wa nyota wa zamani, Madaraka Seleman (Mzee wa Kiminyio).
R.I.P Idd Seleman
View attachment 2317872
Kabla ya kuja kwangu litakuja kwako kwanzaKafara likitoka hapo linakuja kwako
Mi nilishajifia kitamboKabla ya kuja kwangu litakuja kwako kwanza
Mfadhili mkuu wa timu kwa wakati huo ndio baba wa nyumba.Huyo azim dewji alifuata nini kwenye hiyo picha
Mzee wa Manzese Tip Top.Mchezaji wa zamani wa Simba na timu ya taifa Iddy Suleiman kibode (Meya), amefariki usiku wa kumkia leo jtatu, katika Hospitali ya Muhimbili.
Awali Iddy alilazwa katika hospitali ya Mwananyamala na juzi usiku alihamishiwa Muhimbili. Idd ni mdogo wa nyota wa zamani, Madaraka Seleman (Mzee wa Kiminyio).
R.I.P Idd Seleman
View attachment 2317872
RIPMi nilishajifia kitambo
Return if possible
sababisha ili aweze returnReturn if possible
mwambie huyo jamaa yako avores amu return if possibleDunia mapito.