Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukioa ndio haufi?siku yako ikifika ataukiwa askofu utakufa tu,KATAA NDOA,NI UTAPELI
Kwa kweli haipendezi mtu kuishi mwenyewe, hata Mungu alitambua umuhimu wa watu kuishi wawili ndo maana baada ya kumuumba Adamu aliona hajakamilika akamfanyia msaidizi ambaye ni Eva ili kumkamilisha. Tusimshangae marehemu kwa kuishi mwenyewe inawezekana kuna magumu yalimpata yakamfanya awe mwenyewe mpaka anafikwa na mauti. Apumzike kwa amaniMaisha ya kuishi kisela na kukataa ndoa yana mwisho unaofanana na huu.... Msikilizeni Heriel yeye kaoa....
Kizazi cha vijana wa hovyo wanaokataa ndoa wakati ni wazinzi. Waasherati wa kutupa.
Wachezaji wa zamani walikuwa wanaingiza fedha kwa njia gani?Wachezaji wa zamani wanamsongo sana na mawazo, na sio kwamba hawakupata hela sema hawakuweza kuinvest zama hizo elimi hii ya uwekezaji haikuwepo. Nenda pale bandarini gate namba 5 utawakuta wamejazana. Wengine ndio wamekuwa waganga wa kienyeji akina SAID SUED SCADI. Maisha ya mpira wa miguu ni mafupi sana tena sana.
You are very correct! Haya maisha haya! Pengine wanakosoa wakisimuliwa kisa chake cha kuishi mwenyewe watabadili mitizamo yao kabisa.Kwa kweli haipendezi mtu kuishi mwenyewe, hata Mungu alitambua umuhimu wa watu kuishi wawili ndo maana baada ya kumuumba Adamu aliona hajakamilika akamfanyia msaidizi ambaye ni Eva ili kumkamilisha. Tusimshangae marehemu kwa kuishi mwenyewe inawezekana kuna magumu yalimpata yakamfanya awe mwenyewe mpaka anafikwa na mauti. Apumzike kwa amani
Sent using Jamii Forums mobile app