kiula neema
Member
- Mar 22, 2021
- 72
- 105
Hujawahi kurogwa wewe siku ukirogwa ndio utajua uchawi ni nini na upo na unafanya kazi omba Mungu yasikukuteKuna tofauti ya mashabiki hata wasiokuwa na uhakika kwamba ni wa Simba na wachezaji tena wawili kuamini kwamba taulo linazuia mpira kuingia golini.Ni ujinga wa hali ya juu