kiula neema
Member
- Mar 22, 2021
- 72
- 105
Hujawahi kurogwa wewe siku ukirogwa ndio utajua uchawi ni nini na upo na unafanya kazi omba Mungu yasikukuteKuna tofauti ya mashabiki hata wasiokuwa na uhakika kwamba ni wa Simba na wachezaji tena wawili kuamini kwamba taulo linazuia mpira kuingia golini.Ni ujinga wa hali ya juu
Nani kazungumzia kurogwa?Wewe unaamini taulo inazuia goli?Hujawahi kurogwa wewe siku ukirogwa ndio utajua uchawi ni nini na upo na unafanya kazi omba Mungu yasikukute
Haikuwa kazi ya Kibwana Shomari au Mzize kuchukua yale mataulo na kuyarusha majukwaani. Unashindwa kuelewa hata hilo? Kama waliona kuna kanuni imekiukwa ilikuwa ni suala la kuwataarifu waamuzi na wasimamizi wa mchezo ili wachukue hatua stahiki.Ndugu mbumbumbu katika mpira wa miguu haitakiwi pale golini au kwenye nyavu za goli kuwekwa kitu chochote, ata chupa ya maji aihitajiki ndani ya goli labda uweke nje ya eneo la kuchezea.
Alichofanya kibwana shomari kilitakiwa kifanywe na refa.
Kazi ya taulo ni kipindi kama Kuna mvua au manyunyu kufuta maji kwenye groves za kipa au matope.
Sasa jua linawaka, hakuna mvua mataulo ya Nini?
Hayo mataulo yalikua nje ya uwanja.Ndugu mbumbumbu katika mpira wa miguu haitakiwi pale golini au kwenye nyavu za goli kuwekwa kitu chochote, ata chupa ya maji aihitajiki ndani ya goli labda uweke nje ya eneo la kuchezea.
Alichofanya kibwana shomari kilitakiwa kifanywe na refa.
Kazi ya taulo ni kipindi kama Kuna mvua au manyunyu kufuta maji kwenye groves za kipa au matope.
Sasa jua linawaka, hakuna mvua mataulo ya Nini?
Ndugu mbumbumbu sikuiti mpumbavu kwakua tayari umesha jipambanua maana ata Rage kapigilia msumari.Hayo mataulo yalikua nje ya uwanja.
Mpumbavu punguza kukurupuka.
Ujuaji mwingi kumbe empt set.