Mchezaji Zana Coulibaly wa ASEC Mimosas awasili nchini kukamilisha taratibu za kujiunga na Simba SC

Mchezaji Zana Coulibaly wa ASEC Mimosas awasili nchini kukamilisha taratibu za kujiunga na Simba SC

ukiona west African anakuja huku mkweche..unakuta anavyuma miguu yote..wale hasira zao Ulayaaaa
 
Ni Simba FC sio Simba SC Ghazwat Qy hujaona katazo la TFF Kwa Vilabu kujiita SC badala FC?
Ni Simba SC, Simba sio football pekee bali kuna Netball.

Yanga pambaneni na hali yenu either muondoe SC au muwe na team za michezo mingine.
 
Ni Simba FC sio Simba SC Ghazwat Qy hujaona katazo la TFF Kwa Vilabu kujiita SC badala FC?
Katibu Mkuu wa TFF Kidau, ile barua ya Novemba 21 amewaandikia Yanga rejea hata andiko la JF..Simba hajaandikiwa, Hata hivyo Simba kuna michezo mingine Louis II
 
Back
Top Bottom