Kuna turbo hazikuja bongo, zinawangojea huko kwao Ili ziwanyooshe, kazi IPO kwa utoJe?Yanga ataweza kushikilia bomba dakika 90?,maana gemu ya kwanza tu wasudani walishikilia bomba na bado waliongoza kwa short on target nyingi,imagine akifungua turbo [emoji3]
Mbaya zaid kule sudan ukinunua tiketi unapewa na bomu moja la kushangilia[emoji23][emoji23]
Mwenyew naliona hili...sema jamaa wana kelele sanaa.Pambaneni watani zangu, mechi iko wazi hii, mnaweza mkatoboa pia
Kuna turbo hazikuja bongo, zinawangojea huko kwao Ili ziwanyooshe, kazi IPO kwa uto
galaxy walivyo iponda mikia pale kwa mkapa ilikuwa ni kwao pale?Hili hata Shetani analijua, yanga ameshahamia shirikisho. Tukutane mwakani kilabu bingwa ila mwaka huu imeisha hiyo.
Al hilal wameshafuzu, mpira unachezwa uwanjani na kila mtu ashinde nyumbani kwake
Bangala acheze namba 6 aipunguzie presha safu ya ulinziKuhusu washambuliaji wetu sina mashaka, naona sura ya Fiston inaonesha hawa Al Hilal watafungwa tu, tatizo ni ulinzi wetu.
Hata babako ni mbumbumbu?Wenye akili ni wawili tu.
Mzee KIKWETE na Mzee Manara.
Haji Sunday Manara.
Msemaji wa Yanga.
Kuna turbo hazikuja bongo, zinawangojea huko kwao Ili ziwanyooshe, kazi IPO kwa utoJe?Yanga ataweza kushikilia bomba dakika 90?,maana gemu ya kwanza tu wasudani walishikilia bomba na bado waliongoza kwa short on target nyingi,imagine akifungua turbo [emoji3]