Game Theory
JF-Expert Member
- Sep 5, 2006
- 8,546
- 855
Wakati mnaendelea kubishana kwenye episodes za MENGI vs ROSTAM
Nadhani mnajua jamaa wako kwenye process ya kumchagua DG mpya pale NHC lakini cha ajabu waziri husika na kigogo fulani wa IKULU wanatuhumiwa kuwa amekuwa instrumental katika kuvuruga process nzima ili jamaa wa nyumbani kwao apate na wamefika hatua ya kubadilisha hata matangazo ili kumuaccomodate candidate mmoja
Ukistaajabu ya musa utashangaa ya firauni
Na tangazo la pili lilikuwa scaled down hata masharti ya elimu ili jamaa apate tuu
anyway hiyo ndio habari..sasa tegeemni wengine kuja tutetea huu fisadi
Nadhani mnajua jamaa wako kwenye process ya kumchagua DG mpya pale NHC lakini cha ajabu waziri husika na kigogo fulani wa IKULU wanatuhumiwa kuwa amekuwa instrumental katika kuvuruga process nzima ili jamaa wa nyumbani kwao apate na wamefika hatua ya kubadilisha hata matangazo ili kumuaccomodate candidate mmoja
Ukistaajabu ya musa utashangaa ya firauni
Na tangazo la pili lilikuwa scaled down hata masharti ya elimu ili jamaa apate tuu
anyway hiyo ndio habari..sasa tegeemni wengine kuja tutetea huu fisadi
Last edited: